ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Haswa wakati wa jiwe walishaandaa kura feki na kupanga ushindi wa jiwe ilikuwa ujinga kwenda kupiga kuraKupiga kura ambayo haina impact yoyote kwenye matokeo, ni matumizi mabaya ya raslimali muda. Mtu mwenye muda wa kupoteza tu ndio ataenda kushiriki huo upuuzi.
Walienda kupiga kura kwa kuepuka kumsusia fisi mzoga.Haswa wakati wa jiwe walishaandaa kura feki na kupanga ushindi wa jiwe ilikuwa ujinga kwenda kupiga kura
Haswa wakati wa jiwe walishaandaa kura feki na kupanga ushindi wa jiwe ilikuwa ujinga kwenda kupiga kura
Jidanganye.Wapinzani wake wote mpaka sasa wapo hoi
Mtajua ninyi hata iwapo mkachagua jiwe😎Mgombea ni mwingine chichiemu ina wenyewe
Huo uwezo hamna, mngekuwa nao nina amini kwa asilimia 100% kungekuwa na mgao wa Jua kama ilivyo kwa Umeme.Hata jua litazimwa kama nchi itakuwa na sintofahamu ya kiusalama
Huyu mama pamoja na kwamba ni ccm lkn bado ana moyo wa kiubinadamu na dini ya kweli imemkolea sana.Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.
Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.
Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?
Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.
Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??
Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Atashinda kirahisi sanaAtajuta huyu Bi U....s...hungi
VPN tayari Nape kashasema kuwa zitakuwa na sheria ngumuAzime asizime atajijuwa mwenyewe
vpn si zipo tutaendelea na shuguli zetu kama kawaida
Ila kura wengine hatupigi
Ova
Sasa wewe ndugu hapa ndiyo umebisha au umeunga mkono?Mpaka azime internet anamuogopa nani wakati Wapinzani wake wote mpaka sasa wapo hoi?
Labda tusubiri 2025 lakini kwa sasa Wapinzani wote wapo ndembendembe wamechoka
Huna haki wala uhalali wowote wa kumuamlia manzanita nini cha kufanyaFanyeni kazi muda wa uchaguzi na kampeni bado
Hana ajuwalo huyoHebu tusaidie tafsiri yako ya neno "kazi".
Mwaka huu 2024 Kuna uchaguzi wa serikali za mitaa. Au mwenzetu unaishi Burundi?
Magufuli yupi huyo?Bila magufuli uzi haujakamilika!
Upo sahihi na huwa sielewi mtu anasema kuwa hatapiga kura wakati yeye anajiita ni mfuatiliaji wa mambo ya siasa.Msiojua kwa ujinga wenu msipopiga KURA mnawapa ahueni ccm kuliko mkipiga kwasababu nature haikubali vacuum kwahiyo ombwe litajazwa tu na kubalansi nature.
Jpm hakustahili kuwa rais basi tu ugomvi wa lowasa na membeJiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.
Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.
Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?
Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.
Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??
Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Hayo uliyoandika mbona mumeanza nayo Toka day 1 na Bado yupo Hadi Sasa huku Wananchi Wakiwapuuza?Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.
Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.
Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?
Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.
Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??
Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Uzuri ni kwamba vyovyote mtakavyofanya hakuna lolote la kumfanyaAzime asizime atajijuwa mwenyewe
vpn si zipo tutaendelea na shuguli zetu kama kawaida
Ila kura wengine hatupigi
Ova