Uzi Maalum wa Kukumbushana Picha za Zamani

Uzi Maalum wa Kukumbushana Picha za Zamani

e0048211d79d097b76d60ce2db8b5293.jpg
 
Nawakubali sana MATOZI wa zamani.

Walifurahia sana MAISHA, hakukuwa na Maradhi ya ajabu ajabu.

Hawana VITAMBI.

Safi sana.


373705
 
Hebu wee mwenyewe angalia Watoto jinsi walivyo!

Wapo kiasili zaidi.

Jamani,

Kwanini sijakuwepo enzi hizo?!
 
Kweli tunatoka mbali sana.

UBUNGO/KARIAKOO Barabara ya MOROGORO haikuwa hata na LAMI!

Kweli nimeamini Mambo yanakwenda na kubadilika.


img-20171211-wa0102-jpg.649129
 
Nawakubali sana MATOZI wa zamani.

Walifurahia sana MAISHA, hakukuwa na Maradhi ya ajabu ajabu.

Hawana VITAMBI.

Safi sana.


373705
Enzi hizo ukiwa na kitambi lazima upelekwe hospitali,ukachekiwe kwashakoo na utapia mlo
 
Kweli watu wanatoka mbali sana mpaka kufikia hapa walipo sasa hao hapo juu ni Masoud Kipanya na Jokate a,k.a Kidoti.
PhotoGrid_1427438677665.jpg
Hapo Umetudanganya Mkuu, Jokate Huyu Wa Juzi , Akue Pamoja na Masoud, Huyo Ni Musa Kipanya Na Si Masoud Kipanya
 
Back
Top Bottom