myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
✔️✔️
Bila Mungu huwezi kufika uendako na hata ukifosi utalipia gharama kubwa mno ya kudhoofisha afya yako au kuua wengine . maisha yamejaa hila na mitego mingii ili tu kumnasa mwanadamu, na kwa akili yako ndogo hutoweza peke yako bila Mungu kwani mambo mengi yamefichwa ili usiyajue