Hatimaye CV imeletwa, hiyo tipwatipwa tetema umeuaa yani[emoji3][emoji3][emoji3]Mama wa nyumbani
Watoto 5
Elimu form2
Kibonge(tipwatipwa tetema)
Ukipenda boga upende na ua lake.
Nimemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi sifa labda ukienda Sayari ya Mars mlevi, afu pombe mixer mibange siyo mizuri,yaani nimekuja speed kumbe unazingua[emoji850]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua nakusubiri wewe ila hueleweki aah. Now tungekua hatua nyinginee.
Utaolewaje na mlevi bibie mashosti watakuchekaNilikua nakusubiri wewe ila hueleweki aah. Now tungekua hatua nyinginee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee mashosti??, Nafata moyo wangu unachokipenda, nishindwe kuenjoy maisha na mlevi wangu sababu ntachekwa na mashosti hell nooo, ulevi wako naujua mwenyewe [emoji7]
Weee mashosti??, Nafata moyo wangu unachokipenda, nishindwe kuenjoy maisha na mlevi wangu sababu ntachekwa na mashosti hell nooo, ulevi wako naujua mwenyewe [emoji7]
Tena walevi ni wasweet sana, wako peace sana,si watu wa magomvi
Ila kasoro ni kwamba naskia wakinywa, pombe huwa zinakimbilia kichwa cha chini, so kuuza mechi nje nje[emoji25]
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee mashosti??, Nafata moyo wangu unachokipenda, nishindwe kuenjoy maisha na mlevi wangu sababu ntachekwa na mashosti hell nooo, ulevi wako naujua mwenyewe [emoji7]
Tena walevi ni wasweet sana, wako peace sana,si watu wa magomvi
Ila kasoro ni kwamba naskia wakinywa, pombe huwa zinakimbilia kichwa cha chini, so kuuza mechi nje nje[emoji25]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaonee, nani anacheza sasa😀
Unaringa na chura yako![emoji28][emoji28][emoji28]Kaonee, nani anacheza sasa[emoji3]
Afu sina chura mkuu, sema naringa na TV yangu😀Unaringa na chura yako![emoji28][emoji28][emoji28]
Kaka yangu Ma unaoa lini?Kuuza mechi ata ambaye sio mlevi anaweza
sio ulevi ni kasumba ya mtu [emoji3]tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpango huo sina kabisa [emoji3]
Hutaki mdogo wako Nile pilau na keki?Mpango huo sina kabisa [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitauzuria za watu tu nikanywe bia