Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kila mahali pako niwe Mimi , chochote chako niwe Mimi, popote kwako niwe Mimi..vyovyote kwako niwe Mimi...Sasa unataka unimiliki kwa namna ipi na ushakuwa babe wangu
Tayari umeshakuwa babe, ukitaka zaidi utakuwa unataka roho yangu sasaKukumiliki Mara mbilimbili Babe Kila mahali pako niwe Mimi , chochote chako niwe Mimi, popote kwako niwe Mimi..vyovyote kwako niwe Mimi...
Yaan me me me me
Tayari umeshakuwa babe, ukitaka zaidi utakuwa unataka roho yangu sasa
Thanks babeHaaaaa hapana Roho yako ni muhimu sana kwa ajili yangu.
wewe unao hadi wa akiba kiadi kwamba huna pa kuwaweka tehteh. ...
Bado natafuta Mkuu, maana Yule kapotea ghafla, kumbe alikuwa na mume wake alikuwa kasafiri alikuwa na kaupweke Tu, kameisha maana jamaa yake karudi akanichana na kunipa block wanawake hamuendi mbunguni
Habari wanajamvi hususani wanawake mlio singo na mnahitaji mwenza/mme wa maisha. Nami nimehamasika kuja uwanja huu kwani nimepata shuhuda kadhaa za waliofanikiwa kupata wenza humu jamvini.
Kiufupi nina kiu kubwa sana ya kupata mke kwa ajili ya kuanzisha na kuendeleza familia. Nishajipanga kimaisha na kisaikolojia.
Nina akili timamu na ninafahamu kuwa mwenza wa maisha anapatikana popote pale, tena nawashukuru waliotuletea platfom hii kutusaidia sisi ambao hatupati fursa hizi sehemu nyingine kwa sababu mbalimbali.
WASIFU WANGU
Jinsia; Me
Umri; Miaka 34
Kazi; Nimejiajiri pia nimeajiriwa
Elimu; Masters in Finance and Investment
Dini; Mkristo LC
Makazi; Dar Es Salaam
Mengineyo
Nina mwili wa wastani mrefu kiasi kimo futi 5 inchi 10, uzito kg 72. Sura ya kawaida na nina bald head( uwalaza)
Ni husband material kwa kwel, napenda sana familia, kujituma na kuwekeza ili kujiletea maendeleo
WASIFU WA NINAEMHITAJI
1. Umri awe miaka 25-30
2. Elimu angalau diploma
3. Kazi; Awe ameajiriwa/Kujiajiri. Ila hata kama hana kazi kwa sasa, nitamtafutia shughuli ya kufanya maana naamini katika kazi.
4. Dini; Napenda awe mkristo hususani dhehebu la LC, RC, au pentecoste
5.Makazi; Dsm, au awe tayari kuja kuishi Dsm
6.kabila; napendelea zaidi wa nyanda za juu kusini maana mmi ndio napotokea.
7. Awe na umbo la wastani, kama ni mnene asiwe mnene kupita kiasi
Mengineyo
Napenda mwanamke anaejitambua na anaejua wajibu wake kama mama wa familia
Napenda mwenye kiu ya maendeleo, asiwe mtu wa tamaa.
Napenda pia awe mshauri na mwenye kuona mbali kupitia ya leo(mwenye maono)
Nawakaribisha wenye nia. Karibuni
MAWASILIANO; PM YANGU IPO WAZI HADI NITAKAPOFANIKIWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasifu wangu kwa ufupi sana
Mimi: kijana wa kiume
Umri: miaka 26
Dini: Muislamu
Mwanafunzi wa chuo
Mahali: Morogoro
Inawezekana kabisa from zero to hero, uwanafunzi usikuvunje moyo
Karibu...
Sent using Jamii Forums mobile app
kubwa, Nimeshatongoza.. ila hawaeleweki.. nyodo nyingi, maringo na utoto utotoHahaha.. dogo hapo chuoni hujaona warembo ama ndio udomo zege unakusumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
kubwa, Nimeshatongoza.. ila hawaeleweki.. nyodo nyingi, maringo na utoto utoto
kubwa, Nimeshatongoza.. ila hawaeleweki.. nyodo nyingi, maringo na utoto utoto
SUA
Dah... Bahati mbaya sana sana tena sana... Mimi si mdau wa hayo mambo hata kidogoKudaka madent wa kichuo chuo fanya haya..
Nenda gym upanue kakifua na kamkono..
Tafuta tshirt plane black na white. Modo kazaa piaa zihusike..
Nunua saa na cheni mbili tatu.
Punguza ujuaji. Acha kutongoza tongoza hovyo..
Punguza rundo la marafiki. Angalau frinds wa disc wanatosha
Wikend nenda pub zilizopo maeneo ya chuo.
Utakuja kunipa mrejesho..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Maisha hayo siyawezi kabisaaaa... Na haiwezi tokea kabisaaaKudaka madent wa kichuo chuo fanya haya..
Nenda gym upanue kakifua na kamkono..
Tafuta tshirt plane black na white. Modo kazaa piaa zihusike..
Nunua saa na cheni mbili tatu.
Punguza ujuaji. Acha kutongoza tongoza hovyo..
Punguza rundo la marafiki. Angalau frinds wa disc wanatosha
Wikend nenda pub zilizopo maeneo ya chuo.
Utakuja kunipa mrejesho..
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah... Bahati mbaya sana sana tena sana... Mimi si mdau wa hayo mambo hata kidogo
Hahahaa.. haiwezekani kiongozi... Huwa napenda kuishi maisha ya uhalisia na si kuigiza