Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

We jamaa unadhambi sana[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hii kali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri 28
Kazi.chinga
Elimu.4m4
Eneo.Mwanza uhuru
Mwanamke nimtakae awe na sifa zifuatazo

1:mchoyo
2:Mwongo
3:mchawi
4:malaya
5:Mzurulaji
6:mvivu&mzembe




karbu pm mwenye sifa hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sana tena kwa mara nyingine
Lakin mkuu ngoja nione watakaponipangia, nitakuja tena tuongee!

Kuhusu cost comparison, nitalifanyia kazi hili suala maana Dar kuna kupanda gari hata mara 2 mpaka ufike site

Umenifadhili sana boss wangu!

Mungu azidi kukupa moyo wa kusaidia!!!
haina shida,ila faida ambayo ungeipata ungeishi wewe na mlinzi kwenye eneo kubwa,cha muhimu ni usafi wa mazingira tu;ila kwa umbali wa wewe kwenda kazini ungechoka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lol [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kila la heri !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…