Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Umri:27-30

Rangi:mweupe

Kazi:nimejiajiri

Elimu:degree holder/agriculture engineer by professional


Assets: nyumba tatu za kisasa nimezipangisha, hotel moja mwisho wa reli kigoma,bar kubwa tatu moja dar mbili Moro ambapo nalewa Mimi na kuwapa watu ofa
Mashamba matatu nalima na trekta mbili za kazi nakodisha

Gari zpo ila hautatumia hata kimoja nilichotaja sababu natafuta mmoja for breeding purpose tu [emoji3][emoji16]na Mimi nipate ka offspring maana sina hata wa kusingiziwa

Anaetafutwa

Awe na bonge moja la chura kama sanchi au kama hana awe nalo la kawaida kama mbunge poshy queen

Umbo size 8 kama model corazona wa Kenya black beauty flani kama warembo wa Sudan kusini atapewa kipaumbele mweupe sawa

Elimu :kidato cha nne kuna possibility ya kuendelezwa kama utaenda sawa na mkataba

Dini yeyote coz sina mpango na wewe Nina mpango na mtoto nikipata a beautiful daughter utapata a half of my unknown property according to mkataba na sahau kuhusu mtoto atakuwa sio wako tena ni wangu

















Bila shaka utakuwa umejichosha kweli kusoma nilichoandika mwenzako siko serious na nilichoandika hapo juu nilikuwa najaza komenti tuu huu Uzi umepoa

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa unadhambi sana[emoji23][emoji23]
 
Umri miaka 45
Kazi: mzibua mitaro
Elimu: std 7
Naishi gamboshi shinyanga.
Nahitaji mwanamke miaka 14 to 18.
Awe mweupe peeee
Kabila asiwe mzaramo.
Elimu awe japo la saba.
Nimejenga nyumba mbili za miti.
Mwenye sifa stahiki naomba anifuate PM popote alipo nitamtumia nauli aje.

GOD is GOOD
[emoji23][emoji23][emoji23] hii kali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri 28
Kazi.chinga
Elimu.4m4
Eneo.Mwanza uhuru
Mwanamke nimtakae awe na sifa zifuatazo

1:mchoyo
2:Mwongo
3:mchawi
4:malaya
5:Mzurulaji
6:mvivu&mzembe




karbu pm mwenye sifa hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sana tena kwa mara nyingine
Lakin mkuu ngoja nione watakaponipangia, nitakuja tena tuongee!

Kuhusu cost comparison, nitalifanyia kazi hili suala maana Dar kuna kupanda gari hata mara 2 mpaka ufike site

Umenifadhili sana boss wangu!

Mungu azidi kukupa moyo wa kusaidia!!!
haina shida,ila faida ambayo ungeipata ungeishi wewe na mlinzi kwenye eneo kubwa,cha muhimu ni usafi wa mazingira tu;ila kwa umbali wa wewe kwenda kazini ungechoka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri:27-30

Rangi:mweupe

Kazi:nimejiajiri

Elimu:degree holder/agriculture engineer by professional


Assets: nyumba tatu za kisasa nimezipangisha, hotel moja mwisho wa reli kigoma,bar kubwa tatu moja dar mbili Moro ambapo nalewa Mimi na kuwapa watu ofa
Mashamba matatu nalima na trekta mbili za kazi nakodisha

Gari zpo ila hautatumia hata kimoja nilichotaja sababu natafuta mmoja for breeding purpose tu [emoji3][emoji16]na Mimi nipate ka offspring maana sina hata wa kusingiziwa

Anaetafutwa

Awe na bonge moja la chura kama sanchi au kama hana awe nalo la kawaida kama mbunge poshy queen

Umbo size 8 kama model corazona wa Kenya black beauty flani kama warembo wa Sudan kusini atapewa kipaumbele mweupe sawa

Elimu :kidato cha nne kuna possibility ya kuendelezwa kama utaenda sawa na mkataba

Dini yeyote coz sina mpango na wewe Nina mpango na mtoto nikipata a beautiful daughter utapata a half of my unknown property according to mkataba na sahau kuhusu mtoto atakuwa sio wako tena ni wangu

















Bila shaka utakuwa umejichosha kweli kusoma nilichoandika mwenzako siko serious na nilichoandika hapo juu nilikuwa najaza komenti tuu huu Uzi umepoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Lol [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuleta Uzi Huku WA kuvutana ndani, napendwa kutoa mrejesho kuwa nimepata nilichokuwa nahitaji na zaidi ya matarajio, nimepata mwanamke mzuri Kwa urembo na kichwani, anajua kujali, kupenda na kuheshimu...Kwa hakika jamii forum imejua kukifurahisha......Kwa wengine ambao MNA mrejesho mnaweza kuutoa pia, Kwa hakika jamii ni kiwanda cha kila kitu. Muwe na jumapili njema.
Hongera kila la heri !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom