Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Jina. mzee noninale mbitiyapi ng'waniihtako
Umri miaka 78
Kazi. Uchawi/Uganga
Mahali. Gamboshi Bariadi

Natafuta wa kubadilishana nae dawa. Za Samba au Ndagu
 
Makambako mitaa ya Magegere,mimi ni " me" natafuta "ke" njoo inbo
 
Hapa unaweza kujipeleka mwenyewe aisee.

Evelyn Salt 172 cm unaijua wewe?

Mlinzi wa taifa unamjua wewe au unamjua sabaya tu?
 
Sifa zangu
Umri:28
Elimu:Masters of science in Cyber security and Digital Forensic
Kazi : soldier & lieutenant
Makazi :dar & Moshi
Dini:Mkristo & msabato
Kabila:Mnyakyusa & mweusi fran ivi na mwembamba ila nitanenepa mda wowote ule
Sifa za mke
Dini: Mkristo lakini msabato atapewa kipaombele
Kazi:awe mchapa kazi ,mweupe,mnene kiasi asiwe mrefu sana ,shepu shepu napenda tako ,msafi na mzuri
Umri:20-25
 
ndugu usituahidi utanenepa tujitose afu hola.

Tuje kukarangiza hadi kware, wapi, ndugu hunenepi.

Ungeandika kunenepa ni majaaliwa hapo.
 
Soldier $ lieutenant
 

kama mzuri ila huna shepu ama tako humtaki[emoji1787][emoji1787]
 

kwa huo urefu nimekosa mume mimi ni kafupi si utanikoa makonzi kichwani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mlinzi wa taifa ndio kazi gani?
 
Umri:30
Elimu:stashahada
Makazi:dar
Kazi:mtumishi wa umma
Nimejenga Nyumba kubwa ina kila kitu tatizo upweke nipo naishi na mfanyakazi tu
Karibu.
Mbona umesahau kutuambia jinsia, au wewe ni bisexual.
 
Umri miaka 40
Kazi: Afisa Usalama
Dini :Islam
Utaifa : Mzanzibar
Marital status : Nina mke mmoja ila nataka kuongeza mke wa pili
Naishi Mkoa wa DSM Tegeta
Nahitaji mwanamke ambae mstaarabu , mchangamfu, mpole , mnene, mwembamba, kwa mpalange lazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…