n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Pole Sana,DM please.[emoji17]niko low sana .Naomba someone matured jinsia yoyote, umri kuanzia 35 na zaidi nimsimulie ili nitoe nyongo ,maana namimi ni mtu mzima sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Sana,DM please.[emoji17]niko low sana .Naomba someone matured jinsia yoyote, umri kuanzia 35 na zaidi nimsimulie ili nitoe nyongo ,maana namimi ni mtu mzima sana
Humu nyingi namba AWakuu kuna mliofanikiwa kupata humu?
Aisee mimi namba B nakuja kujaribu bahati piaHumu nyingi namba A
Kwani Mama bado hujaapata tu?Aisee mimi namba B nakuja kujaribu bahati pia
Sijapata mkuu, au ndiye wewe I'm waiting for so long?😜Kwani Mama bado hujaapata tu?
Unasubiri nn sasa? Njoo Pm tuyajenge[emoji28]Sijapata mkuu, au ndiye wewe I'm waiting for so long?[emoji12]
Mmh naiona masikhara ya Rikiboy hapa😂😂Unasubiri nn sasa? Njoo Pm tuyajenge[emoji28]
Ondoa shaka MamaMmh naiona masikhara ya Rikiboy hapa[emoji23][emoji23]
Unatafuta dume la kukuburudisha au kukuwowa?
Pole kwa unayopitia/uliyopitia, hope utakuwa sawa[emoji17]niko low sana .Naomba someone matured jinsia yoyote, umri kuanzia 35 na zaidi nimsimulie ili nitoe nyongo ,maana namimi ni mtu mzima sana
Mwanamke kwa mwanamke je?Natafuta rafiki/
Marafiki
Widower
Divorcee
Single
Separated
Why hizo sifa
( Sitaki kumkwaza mwanamke mwenzangu kwa mawasiliano yetu).
Umri kuanzia 38-45
Awe Dar es salaam
Mimi ni introvert....nahitaji kuongeza cycle of friends...
Vigezo na masharti kuzingatiwa
Ahsante
SawaNatafuta rafiki/
Marafiki
Widower
Divorcee
Single
Separated
Why hizo sifa
( Sitaki kumkwaza mwanamke mwenzangu kwa mawasiliano yetu).
Umri kuanzia 38-45
Awe Dar es salaam
Mimi ni introvert....nahitaji kuongeza cycle of friends...
Vigezo na masharti kuzingatiwa
Ahsante
Vp umeshapata[emoji848]✓Nina miaka 25
✓Nimwajiliwa
✓naitaji mume awe very serious akiwa mkristo itapendeza naitaji ndoa
✓Akiwa mkoa wowote ama nchi yoyote ni sawa
✓Awe mcha mungu na mwenye hofu ya mungu
✓Umri wake uwe 35 kushuka chini mpka 28
Nina dada yangu ni Doctor wa muhimbili , pia anajituma saa kwenye biashara zake anapika biryani, muislam nahisi atakufaa ana 29 yrsUmri: 35 yrs
Kazi: mfanyabiashara+ mtumishi
Elimu : degree + master in public health
Location : kimara (DSM)
Dini : Muslim
Sifa za mke
Umri :23-29 yrs
Kazi : awe nayo asiwe nayo ntamuweka sawa
Elimu : angalau kidato cha nne onwards
Location : popote anapotoka
Dini :yoyote ( kama mkiristo ndoa ya kiserikal itafuata mkondo)
Karibuni kwa wahitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
mlifanikiwa kuishi pamoja? toeni ushuhudaHatimaye maombi yangu yanaanza kujibiwa.! Imaginie sifa za mwanamke ambaye ninamtaka awe mke wangu umezitaja zote. Basi naomba uhesabu kuwa umepata mume. Mie naishi Kinondoni studio
Happy dude [emoji67][emoji538]
hahaah wanaume wengi ukiwa na chura kubwa hawaoi, wanahofia utakuwa mali ya kitaaMwenzangu nina refresh kila muda naona empty
Ama nimekosema kuandika ningesema nina chura kama la sanchi eti?
Msaada matron
Sent using Jamii Forums mobile app