Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Umri 34
Kazi mtumishi wa uma
Makazi dar
Sifa za mke
Muislam
Awe mwembamba
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] siwataki

aah, nlitaka kuja, anyway maana friends siku hizi wako in short supply especially kwa mtu kama mm ambae i hate people(that was a joke..a bad one, no it wasn’t) see what i mean [emoji25]
 
Naitwa David ninsishi chanika Dsm,
Nahitaji mchumba.
Umri wangu 31
Makaz- chanika Dsm
 
Mwanamke wa kiislam mwenye mwonekano na umbo zur naitaji kumuoa umri wake kuanzia 18 -30 awe na kazi kama hana awe na upeo wa kufanya biashara asie zaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…