Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 903
- 892
Nakupa offer ya K vooAge: 1000+
Specie: Hybrid (vampire +werewolf)
Location: dar es laam
Education level: 7 degree
Professional: ancient botanist, writer,philosopher, word war 1&2 former solder,doctor,engineer
Nimekuja tu kusoma Uzi Niko na konyagi pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mwanzo mgumu, ila hongera maana watu tunavowaza pesa zaidi, ni nadra sana kutoa kitu for free,be blessed kwa hilo.kawaida tu mkuu,najua kwa anayeanza kujipanga changamoto ni nyingi
Sogea huku minga utanikuta nakusubiri mie sina vigezo vingi [emoji23][emoji23]Yani ni mm wa hapa mwenge sema vigezo vimenikosesha mume
Ndyo rafiki, vipi yupo? Au ni wewe mwenyewe?, ila wewe niliskia ushaoa kitambo(joke)Vp Rafiki unatafuta? Mchumba.
Beggars can't be choosers
Andaa cv Mkuu, huwezi kosa watu wazuri bado wapoMkuu, huyo umempata humu humu jf? Hongera sana kumbe wapo eeh, ngoja niandae CV pia
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] We siku zote hizo hujapata tuu.Ndyo rafiki, vipi yupo? Au ni wewe mwenyewe?, ila wewe niliskia ushaoa kitambo(joke)
Sent using Jamii Forums mobile app
hv ukiingia chuo ukasoma semista moja afu ukaacha..... afu mtu akakuuliza una elim gan? utamjibu una elim ya chuo?? huon jamaa aliacha chuo baada ya kunogeewa na mapene????
Sent using Jamii Forums mobile app
nishafika DAR mkuuUkija dar tuonane mkuu, au njoo pm
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mitaaa nilishaga isahau jaman nitakaribiaSogea huku minga utanikuta nakusubiri mie sina vigezo vingi [emoji23][emoji23]
Jf ina watu wakarimu sananishafika DAR mkuu
asante kwa kujali
Yaani wewe unaleta mchzo kwenye Uzi seriousAge: XMV
Tribe:Shangan
Education: 3 DiplomAs Entomology, Meat Hygiene, sex grade 1.
Nyumba 2 zipo
Location : NYARUHANDE
PESA : ZIPO DAILY LAKINI SIYO BLN
NAHITAJI MCHUMBA OF BTW 25 - 32AGE ASIWE MNENE BALI TAKO LIWEPO
OTHERS: NILISHATHIBITIKA KUWA NINA PERMANENT KINGA DHIDI YA CORONA 19
NJOO PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu pmNamimi nahitaji mwanaume wa kuzaa nae mtoto wa 2 maana nina mtoto mmoja.
Umri wngu 26Jina😱mary kitonga.
Sex:Male.
Elimu:degree in automobile engineer(sijaajiriwa ila nafkiria kujiajiri).
Rangi:mweusi kdgo.
Dini:Islam.
Naishi:Mburahati (Dar es salaam)
Contacts:0683692750
Weakness:i care too much.
Why nahitaji mwenza?:nlikua katika uchumba na mwanamke kwa miezi 3(january 2019-march 2019)..uvumilivu ukamshinda kutokana namie kutopata kazi..Nahitaji sana wa kuanza nae hata friendship kwania ya kuoana baadae..and niko serious 100%.
VIGEZO VYA MHITAJIWA
1.Awe dini yoyote.
2.Awe mvumilivu(i mean it).
3.Awe na umri wowote ule usiozidi miaka 32,to me age is just a number.
4.Rangi yoyote ile(natural) ila asijichubue.
NB:NIKO SERIOUS WAKUU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapakumbuka kulaya?[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mitaaa nilishaga isahau jaman nitakaribia