Nenda usiogope[emoji23][emoji87][emoji87][emoji87]
Nenda usiogope[emoji23]
Walikudanganya wewe unafanana na Steven wasiraWengi tunatumia JF huku tukijaribu kuvuta mfanano wa wadau mbalimbali humu unaweza kuwaza yuko hivi kumbe yuko vile.
Kupitia huu uzi tunaweza kidogo kujenga picha akili unafanana na nani huwenda akawa ni maarufu au asiwe maarufu ila kama uliwahi kufananishwa na mtu yeyote ambaye jamii kwa kiasi kikubwa inamjua basi weka picha yake hapa.
Mnamo mwaka 2008 rafiki yangu alikuwa na picha ya John Mikel Obi kwenye Ofisi yake siku moja akaniambia ila unafanana na huyu jamaa kama ndugu yako. Haikupita muda siku moja Mama alinikuta nikiwa pale Ofisini nae kasema unafanana na huyo Jamaa kwenye picha (John Mikel).
Vipi kuhusu wewe. View attachment 835892
Eeh ni kweli una hoja nyingine au?Walikudanganya wewe unafanana na Steven wasira
Sipendi ushahidiSawa.
Sipendi ushahidiView attachment 864720
Umeoma eeeeeHilo sonyo madame b, lazima mtu aweweseke [emoji120]
Duh Mkapa Jr.Huyu ndiye pacha wangu, ukiniona utafikiri ndiyo huyu jamaa, japo kwa sasa amezeeka,Picha zake alivyokuwa kijana ni copyright, kuna watu mpaka sasa unaniita Mkapa.
Haki kukaza makalio?Nimefanana nae kila kituuuView attachment 864889
@Madame B Kibonge mwepesi.Umeoma eeeee
Ooooohhh kweli........na unampenda kinomaa!!??Unafanana na crush Wangu!!!
Aisee