Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Cost and Freight ya Subaru lako umetumia mil 5/=

Halafu likishafika Tanzania ukitaka kuliuza utauza shiing ngapi, milioni 6 ???

Unafikiri TRA wajinga hawajui bei ya Subaru mtaani?

Again and again, thamani ya mzigo haipimwi kwa bei ya mitaani YOKOHAMA

TRA wanaenda na bei za magari KIDONGO CHEKUNDU

Tuzijue kwanza sheria za kodi ndio tutaweza kuzipinga vizuri

Calculator yenu ya tra, inatoa makadirio based on Cif, ambazo hata ukiangalia pale zinakuwa juu kuliko bei halisi sokoni, hii ya kusema mnaenda kidogo chekundu kuangalia bei za magari unaitoa wapi?

Mind you sio kila mtu ananunua gari ili aiuze wengine ni kwa matumizi binafsi tu na hawana hulka ya kuuza, hata kama hilo lingekuwa sahihi, bei ya brevis na alteza za mkononi saa hizi zipo down low ukiwa na milioni 6 unapata gari kali tu, unataka kuniambia Tra , wameshusha kodi kwa magari hayo sababu mitaani bei imeporomoka?

Unafahamu kuwa baada ya malalamiko kodi ya baadhi za gari zimefanyiwa review kwenye hiyo calculator, ? Tena kwa kupunguza tu Cif value ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Enzi hizi za wire transfer"
Kwani enzi gani kulikuwa hakuna wire transfer? Una umri gani kijana?

TRA hawawezi kufuatilia wire transfer yako kwa sababu, tena na tena narudia, thamani ya mali haipimwi kwa bei ya manunuzi Ulaya. Inapimwa thamani yake mtaani i

Ukishaanza kutumia umri kwenye argument kama hizi ni tatizo ,
Inaonekana wewe ni typical Tra attendant, rigid majivuno na quite possibly hushauriki,

kama ni kweli hamfati thamani ya kitu kikiwa nje mbona mnaatumia Cif kwenye calculation zenu? , Mbona kama invoice ya mteja ipo juu kuliko yenu huwa mnaamua kutumia invoice na si calculator tena?





Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama ni kweli hamfati thamani ya kitu kikiwa nje mbona mnaatumia Cif kwenye calculation zenu? ,

KIKOKOTOO cha TRA hiki hapa

Ni wapi wanapouliza bei yako umenunua Japan shiiing ngapi ????

TRA.JPG

They couldn't care less if you got it for free!

Hawajali kama ulilipata bure!

Tax code is just not written that way.

Mbona na wewe - kama mimi - hushauriki na una majivuno ?????
 
KIKOKOTOO cha TRA hiki hapa

Ni wapi wanapouliza bei yako umenunua Japan shiiing ngapi ????

View attachment 1407364
They couldn't care less if you got it for free!

Hawajali kama ulilipata bure! Tax code is just not written that way.

Mbona na wewe - kama mimi - hushauriki na una majivuno ?????
Ok sawa, hapo nyie Tra mnaniuliza nimenunua gari gani , model gani,lipo wapi , la mwaka gani , linatumia mafuta gani na ukubwa wa mjini ni upi?

Hapa ni nyie na majibu yenu , na hii hapo ni baada ya marekebisho , ushuru wa hiyo gari kabla ya malalamiko ulikuwa ni karibu milioni 20 kama umeniona vizuri cif mnejiwekea tu wala hamjajadiliana na mteja mie , ila kama ikitokea invoice yangu ni kubwa kuliko hiyo ya kikokotoo chenu , mtahamisha magoli na mtaachana kabisa na kikokotoo chenu
Screenshot_20200403-093022_Chrome.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok sawa, hapo nyie Tra mnaniuliza nimenunua gari gani , model gani,lipo wapi , la mwaka gani , linatumia mafuta gani na ukubwa wa mjini ni upi?

Hapa ni nyie na majibu yenu , na hii hapo ni baada ya marekebisho , ushuru wa hiyo gari kabla ya malalamiko ulikuwa ni karibu milioni 20 kama umeniona vizuri cif mnejiwekea tu wala hamjajadiliana na mteja mie , ila kama ikitokea invoice yangu ni kubwa kuliko hiyo ya kikokotoo chenu , mtahamisha magoli na mtaachana kabisa na kikokotoo chenu View attachment 1407412


Weka hapa bili ya milioni ishirini kwa SUBARU EXIGA
 
Elfu tano mbona nyingi, hata bure ungezipata bado ungethaminishwa bei ya soko!

eti kitu cha elfu tano, elfu tano wapi ????

hapa Tanzania hicho cherehani hakiuzwi elfu tano!

ushuru unapimwa na thamani ya mali IKIWA MTAANI TANZANIA!

Ulaya wanatupa nje TV na computer zilizotumika

Ukikusanya TV zilizotupwa pembeni ya barabara Ulaya ukazileta, TRA Customs hawatakuachia uzipitishe bure eti kwa vile umezipata bure!

Ni vema kuelewa taratibu za kisheria za Tanzania za ushuru wa forodha.
Ushuru unapimwa kwa thamani ya bidhaa ikiwa mtaani Tanzania.

__wanajuaje thamani ya hiyo bidhaa ikiwa nchini?,
--kifungu kipi Cha sheria ya Kodi kimesema hivyo
 
KIKOKOTOO cha TRA hiki hapa

Ni wapi wanapouliza bei yako umenunua Japan shiiing ngapi ????

View attachment 1407364
They couldn't care less if you got it for free!

Hawajali kama ulilipata bure!

Tax code is just not written that way.

Mbona na wewe - kama mimi - hushauriki na una majivuno ?????
Kama hicho ndo kikokoto Basi Hapa Kuna Jambo haliko sawa,,Sasa unakokotoa vipi kwa kuweka information Kama gari inatumia mafuta gani,ya mwaka gani,cc ngapi?
Kwanini hawaulizi Bei ya kununulia?
 
Kama hicho ndo kikokoto Basi Hapa Kuna Jambo haliko sawa,,Sasa unakokotoa vipi kwa kuweka information Kama gari inatumia mafuta gani,ya mwaka gani,cc ngapi?
Kwanini hawaulizi Bei ya kununulia?
Ndio huu wizi Wa waz waz bila hata aibu kwann wasiulize umenunua shngapi? Wao wanadili na vitu vingne?
 
KIKOKOTOO cha TRA hiki hapa

Ni wapi wanapouliza bei yako umenunua Japan shiiing ngapi ????

View attachment 1407364
They couldn't care less if you got it for free!

Hawajali kama ulilipata bure!

Tax code is just not written that way.

Mbona na wewe - kama mimi - hushauriki na una majivuno ?????
Tukirudi kwenye bizaa ni 18% wanakata Mzee sasa alitaka anibambike ef 35 kivipi?
Screenshot_2020-04-02-07-26-55.png
 
Posta, TRA hawajaanza kuwepo leo, kitambo tu...

Kukaguliwa ni kitu cha kawaida, ila ukiingia kwenye kumi na nane zao, wanakupiga haswa alafu pesa zinaenda mifukoni mwao...



Cc: mahondaw
 
__wanajuaje thamani ya hiyo bidhaa ikiwa nchini?

Ni kama ambavyo Benki Kuu wanajua thamani ya kilo ya mchele, njegele au ndizi. Mahakama ya Ndizi Mabibo wakienda wanapata bei ya jumla, wakija hapa Toa Ngoma Kisemvule wanapata bei ya reja reja, halafu wanapanga mipango ya uchumi.

Thamani ya gari inapimwa ikiwa barabarani MAKAMBAKO, na sio kwenye yadi NAGASAKI.
 
"Enzi hizi za wire transfer"
Kwani enzi gani kulikuwa hakuna wire transfer? Una umri gani kijana?

TRA hawawezi kufuatilia wire transfer yako kwa sababu, tena na tena narudia, thamani ya mali haipimwi kwa bei ya manunuzi Ulaya. Inapimwa thamani yake mtaani Tanzania kwa prism ya TRA.



Cost and Freight ya Subaru lako umetumia mil 5/=

Halafu likishafika Tanzania ukitaka kuliuza utauza shiing ngapi, milioni 6 ???

Unafikiri TRA wajinga hawajui bei ya Subaru mtaani?

Again and again, thamani ya mzigo haipimwi kwa bei ya mitaani YOKOHAMA

TRA wanaenda na bei za magari KIDONGO CHEKUNDU

Tuzijue kwanza sheria za kodi ndio tutaweza kuzipinga vizuri
Kwani hilo subaru wakati linauzwa halilipiwi kodi, Kwanini mnapiga thamani ya kuuzwa ikiwa bado halijauzwa na likiuzwa kunakuwa
na kodi tena.
 
"Enzi hizi za wire transfer"
Kwani enzi gani kulikuwa hakuna wire transfer? Una umri gani kijana?

TRA hawawezi kufuatilia wire transfer yako kwa sababu, tena na tena narudia, thamani ya mali haipimwi kwa bei ya manunuzi Ulaya. Inapimwa thamani yake mtaani Tanzania kwa prism ya TRA.



Cost and Freight ya Subaru lako umetumia mil 5/=

Halafu likishafika Tanzania ukitaka kuliuza utauza shiing ngapi, milioni 6 ???

Unafikiri TRA wajinga hawajui bei ya Subaru mtaani?

Again and again, thamani ya mzigo haipimwi kwa bei ya mitaani YOKOHAMA

TRA wanaenda na bei za magari KIDONGO CHEKUNDU

Tuzijue kwanza sheria za kodi ndio tutaweza kuzipinga vizuri
Sehemu kubwa uko sawa.
Hili la bei ya bidhaa(prevailing price) ni la mwisho mwisho.
Waambie tu tayari brackets zimeshawekwa kwa kila bidhaa na makadirio yake.
Pia wasisitizie tena kuwa wakisema kodi kwa bidhaa zinazoingizwa nchini ziangalie bei ya kununulia ,tutapotezana kuna vitu vya bure vitakuwa charged vipi?
Hako kakifaa ka mwamba jamaa aliacha tu kwa sababu ya kutojua kwa haraka au aliona katamchosha kujua kanaangukia katika group la bidhaa gani katika HS Code.
Mwisho suala la kodi ni kitu moja iko ki janja janja dunia nzima.Na mamlaka ikiweka vitu actual inapigwa bao fasta.Mfano kama ukitengeneza chombo chenye muundo wa bajaji na kikawa na 1500CC, je tuitreat kama gari au bajaji?(Walipa kodi sisi ni wajanja sana na mamlaka zinajitahidi kuwa janja zaidi,lakini tunaevolve mapambano yanaendelea)
WAKUU NDUGU YETU YUPO SAWA.
 
Back
Top Bottom