Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Nijuavyo mimi, unaandika barua kwa kamishna general kuomba mapitio mapya ya assessments ya makadirio yako, muda huo huo unatakiwa kuwa umelipa theluth moja ya ulichokadiriwa then mkishindwana ndio mnapelekana Kwenye court of arbitration.
Mkuu umesoma mada vizuri kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia kampuni yangu ilianza hivi karibuni na mshauri wa kodi alinipigia hesabu ya laki 2 na 10 maana sikuwa nimeanza kuingiza kitu bado ila akanishauri nianze kulipa hiyo

TRA wameniletea 12.9 M sasanikawaambia waje ofisini maana ofisi ina laptop, modem, kiti, kimeza cha kufix ukutani, extension na feni

Ilibidi nicheke, wakaniambia nitud kwa mtaalamu wa hesabu kurekebisha, mtaalamu anataka laki 6 kurekebisha nikasema nyie wote mafala.

Nikaandika barua ya kukana hesabu zao, hawajajibu hadi leo na nimesha funga ofisi nafanya mchakato wa kufunga kampuni nijikite ktk biashara haramu.

Sent using COVID-19
Aisee, hii inauma sana.
Kumbe TRA ni mafala sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa kbsa kwetu ni kuwa hakunaga utaratibu maalum wa kulipa kodi. haya mambo ya kukadiriana ndo yaliyonifanya nifunge busness zangu. jamaa wa TRA ni wezi tu hawana lolote wanalojua.
 
Pole ndg yangu. Fanya yafuatayo:

Mtafute wakili mzuri akushauri nini cha kufanya.

Pili, usijaribu kukata rufaa kwa hayo majizi ya TRA maana watakupotezea muda tu.

Tatu, hakikisha una copy ya mahesabu ya awali ya hiyo mil 5 uliyoisain ili uwe ushahidi kokote utakapohitajika au hata mahakamani.

Mwisho, usidhubutu kulipa kulipa kiwango chochote kile kilichoongezeka nje ya assessment ya awali. Hao wahuni wa TRA sio mwisho wa suluhu wa jambo hili. Ni mijitu tu yenye roho mbaya lakini ukweli sio msimamo wa Serikali hii.

Ikikupendeza ni PM nikupe some abc on how to go about this... bigmash,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hawa TRA walaaniwe tu na roho zao mbaya.
Haya yalinikuta hata mimi kwenye kabiashara kangu. Kodi nilioamriwa kulipa na TRA biashara haina uwezo wa kuilipa. Hata baada ya kuandika barua upya TRA na kuomba kufanyiwa Assesment upya waligoma na kusema nilipe kiasi hikohiko.
Kwa vile ilikua haikuzidi milioni moja ikabidi niitafute nje ya biashara na kqenda kulipa hela yao.
Kilichofuata nikaandika barua ya kufunga biashara tu maana hakuna namna.
Kwa TRA ni bora wakose kabisa kuliko kukukadiria kodi inayoendana na mapato halisi ya biashara yako!

Mwenyezimungu atawalipa hapahapa duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa mtumiaji mbobezi katika huduma za kampuni ya usafirishaji abiria ya Shabiby. Hawa jamaa kama kawaida ya makampuni mengine ya kusafirisha abiria wamejitosa katika utoaji huduma ya kusafirisha vifurushi.

Nimeshangazwa na kitendo chao cha kunitosa hela nyingi kwa kusafirisha bahasha tu. Tena bahasha ndogo mno mfano wa barua ya kupeleka kijijini kumsalimia mama kwa TSHS.5000. Posta mlaaniwe kwa kudhohofisha huduma hii.

Pamoja na kuchukuliwa 5000 yangu naendelea na masikitiko yangu kumbuka mimi ni raia safi na mpenda maendeleo huku nikiunga mkono jitahada za Serikali ya Awamu ya Tano. Hawa jamaa hawatoi Risti ya EFD. TCRA mpo wapi. Yaani bahasha ya kuweka stemp kutoka Dar mpaka Dodoma kweli 5000 na Risti hakuna nyie Shirika la Posta mlaaniwe kabisa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kamanda. Wahusika wamekusikia
 
kulikuwa na uwezo wa kwenda Kwingine penye unafuu zaidi . Hukuona hilo.

Kuna siku hawa washenzi Nilisafiri nao kwenda Arusha nikitokea Dodoma. Kama abiria wengine niliweka mzigo wangu wa viatu vyangu,mume wangu na wengine tena vilikua kwa ajili ya harusi. Sintosahau mwisho wa safari mzigo haukuwepo kwenye buti. Mpaka leo sikulipwa hata mia. Wakati mzigo wa kwenye buti ni dhamana yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulikuwa na uwezo wa kwenda Kwingine penye unafuu zaidi . Hukuona hilo.

Kuna siku hawa washenzi Nilisafiri nao kwenda Arusha nikitokea Dodoma. Kama abiria wengine niliweka mzigo wangu wa viatu vyangu,mume wangu na wengine tena vilikua kwa ajili ya harusi.... Sintosahau mwisho wa safari mzigo haukuwepo kwenye buti.... Mpaka leo sikulipwa hata mia.. Wakati mzigo wa kwenye buti ni dhamana yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh mlifunga harusi peku!?
ama na viatu vya kuazima
kweli jamaa coco
 
mkuu 5000 mbona nafuu sana, acha kulialia! kama vipi ungepanda basi ulipe nauli ili upeleke hiyo bahasha mwenyewe
 
Back
Top Bottom