Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Tatizo sio wateja wote waaminifu...Unawezakuta kinasafirishwa kitu muhumu sana na kikipotea risk na gharama inakua zaidi ya iyo elfu 5...Na endapo bahasha ikipotea malalamiko yanakua makubwa sana..Vinginevyo Mkuu tafuta kwenye gharama nafuu
 
Nimekuwa mtumiaji mbobezi katika huduma za kampuni ya usafirishaji abiria ya Shabiby. Hawa jamaa kama kawaida ya makampuni mengine ya kusafirisha abiria wamejitosa katika utoaji huduma ya kusafirisha vifurushi.

Nimeshangazwa na kitendo chao cha kunitosa hela nyingi kwa kusafirisha bahasha tu. Tena bahasha ndogo mno mfano wa barua ya kupeleka kijijini kumsalimia mama kwa TSHS.5000. Posta mlaaniwe kwa kudhohofisha huduma hii.

Pamoja na kuchukuliwa 5000 yangu naendelea na masikitiko yangu kumbuka mimi ni raia safi na mpenda maendeleo huku nikiunga mkono jitahada za Serikali ya Awamu ya Tano. Hawa jamaa hawatoi Risti ya EFD. TCRA mpo wapi. Yaani bahasha ya kuweka stemp kutoka Dar mpaka Dodoma kweli 5000 na Risti hakuna nyie Shirika la Posta mlaaniwe kabisa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni washenzi sana...mi jana nimetumiwa kabahasha kadogo eti wamemchaji aliyetuma 10,000....sijawahi kuwa na hasira kiasi kile
 
Hakuna cha risk wala nini, hata kikipotea haulipwi. Inakula kwako tu.
Tatizo sio wateja wote waaminifu...Unawezakuta kinasafirishwa kitu muhumu sana na kikipotea risk na gharama inakua zaidi ya iyo elfu 5...Na endapo bahasha ikipotea malalamiko yanakua makubwa sana..Vinginevyo Mkuu tafuta kwenye gharama nafuu
 
Nimekuwa mtumiaji mbobezi katika huduma za kampuni ya usafirishaji abiria ya Shabiby. Hawa jamaa kama kawaida ya makampuni mengine ya kusafirisha abiria wamejitosa katika utoaji huduma ya kusafirisha vifurushi.

Nimeshangazwa na kitendo chao cha kunitosa hela nyingi kwa kusafirisha bahasha tu. Tena bahasha ndogo mno mfano wa barua ya kupeleka kijijini kumsalimia mama kwa TSHS.5000. Posta mlaaniwe kwa kudhohofisha huduma hii.

Pamoja na kuchukuliwa 5000 yangu naendelea na masikitiko yangu kumbuka mimi ni raia safi na mpenda maendeleo huku nikiunga mkono jitahada za Serikali ya Awamu ya Tano. Hawa jamaa hawatoi Risti ya EFD. TCRA mpo wapi. Yaani bahasha ya kuweka stemp kutoka Dar mpaka Dodoma kweli 5000 na Risti hakuna nyie Shirika la Posta mlaaniwe kabisa.


Sent using Jamii Forums mobile app
5000 mbona ndogo hiyo mkuu,
Panda basi uipeleke km waona ni ghali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa mtumiaji mbobezi katika huduma za kampuni ya usafirishaji abiria ya Shabiby. Hawa jamaa kama kawaida ya makampuni mengine ya kusafirisha abiria wamejitosa katika utoaji huduma ya kusafirisha vifurushi.

Nimeshangazwa na kitendo chao cha kunitosa hela nyingi kwa kusafirisha bahasha tu. Tena bahasha ndogo mno mfano wa barua ya kupeleka kijijini kumsalimia mama kwa TSHS.5000. Posta mlaaniwe kwa kudhohofisha huduma hii.

Pamoja na kuchukuliwa 5000 yangu naendelea na masikitiko yangu kumbuka mimi ni raia safi na mpenda maendeleo huku nikiunga mkono jitahada za Serikali ya Awamu ya Tano. Hawa jamaa hawatoi Risti ya EFD. TCRA mpo wapi. Yaani bahasha ya kuweka stemp kutoka Dar mpaka Dodoma kweli 5000 na Risti hakuna nyie Shirika la Posta mlaaniwe kabisa.


Sent using Jamii Forums mobile app

Umemshtaki Kipindi kibaya mno Ndugu kwani kwa mwaka huu wa 2020 hao ndiyo Wafadhili Wakuu wa anayekutawala Kikatiba.
 
Hakuna cha risk wala nini, hata kikipotea haulipwi. Inakula kwako tu.
Hapo ilipaswa ukilipia parcel upewe na risit kama ambavyo kampuni nyingine zinavyofanya..Ili mzigo ukipotea uweze kudai haki yako..Vinginevyo wanasafirisha kiholela
 
Kuhusu bei ya sh 5000 kwa bahasha naona ni fair kwa upande wa usafirishaji wa parcel kwa mabasi, as nimeona hivi karibuni mabasi mengi yanakomalia sh 10,000 kwa bahasha. Labda hapo kwenye kipengere cha risiti ya EFD basi watoza ushuru naamini wamekusikia.
Pole madam uliyepoteza begi la vyenzo za arusi na kuambulia patupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ilipaswa ukilipia parcel upewe na risit kama ambavyo kampuni nyingine zinavyofanya..Ili mzigo ukipotea uweze kudai haki yako..Vinginevyo wanasafirisha kiholela
Risiti unapewa vizuri tu, ila mzigo ukipotea utahangaika wee na mwisho hulipwi.
 
Kuhusu bei ya sh 5000 kwa bahasha naona ni fair kwa upande wa usafirishaji wa parcel kwa mabasi, as nimeona hivi karibuni mabasi mengi yanakomalia sh 10,000 kwa bahasha. Labda hapo kwenye kipengere cha risiti ya EFD basi watoza ushuru naamini wamekusikia.
Pole madam uliyepoteza begi la vyenzo za arusi na kuambulia patupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu kanipa sehemu nafuu ya kutuma parcel kuwa ni Mwananchi kitengo cha kusafirisha mizigo je unalijua hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu angalia muda uliyotumiwa au tuma...

Siyo kulalamika tu,ungetuma ems ungelipa kiasi gani?
 
Back
Top Bottom