Naamini katika requirements walizokwambia upeleke ni Mkataba wa Pango/eneo la biashara
Katika mkataba huo sasa wataweka 10% ya kodi ambayo imelipwa;
Hii 10% (24,000) ni Withholding tax on rent na hiyo (2400) stamp duty ambayo inatofautiana sasa;
Stamp duty itatumika kama mbadala wa risiti ya Mwanasheria kwenye mkataba huo wa pango ambapo kila mkataba unatakiwa ufanyiwe kitu kinaitwa "Attestation" na mwanasheria na kwa wanasheria wengi ili wakupe risiti inabidi ulipie 20,000/-
NB: Mimi sio mwanasheria wala mfanyakazi wa taasisi yeyote ya Serikali/Kifedha; Maelezo haya nayatoa kutokana na taarifa, muongozo na experience nilizopata katika safari yangu ya kuanzisha Biashara miezi michache iliyopita
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using
Jamii Forums mobile app