Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Naomba nichukue nafasi hii kuelimisha na kueleza utaratibu kamili wa namna ya kupata TIN ya BIASHARA hapa maana yake kuna TIN si ya Biashara na process nzima ya uanzishwaji wa biashara kwa kujisajili TRA.
1. Utaende ofisi za TRA utapatiwa fomu 3.
A. Fomu kwa ajili ya maombi ya TIN NB TIN UNAWEZA PIA JAZA MWENYEWE ONLINE LKN UTALAZIMIKA KUFIKA TRA KUPATA CHETI HALISI.
B. Fomu kwa ajili ya mwenyekiti wa mtaa au kitongoji ambacho utafanyia biashara yako
C. Fomu kwa ajili ya maelezo yako binafsi ambayo huwa Kurasa 3.
2. Ukishajaza hizo fomu utarudisha TRA sambamba na vitu vifuatavyo.
A. Mkataba wa pango wa sehemu ile ambayo utafanyia bishara yako, hapa kama hujapanga basi utalazimika kupeleka risiti ya kodi ya jengo inayoonesha jina sawa na lako au Barua ya mwenyekiti wa mtaa/kitongoji yenye kuthibitisha kuwa eneo lako sio la kudumu au ni banda la kuhamishikika na hujapanga.
B. Passport size zako 2 hizi ni kwa ajili kufungulia faili hapo TRA.
3. Utaratibu wa makadirio hufata hapa sasa huzingaitia MAUZO na sio MTAJI. NASISITIZA TENA HUZINGATINA MAUZO NA SI MTAJI. Lakini hapa pia unaweza KIJIKADIRIA KODI WEWE MWENYE KWA SHARTI LA KUFILE RETURN ZAKO KILA MWAKA.
4. Ukishakadiriwa kodi na kusaini sasa utatatikiwa kulipa angalau awamu moja + Zile kodi ya zuio na kodi ya stampu kama sehemu yako umepanga.
AFTER HIYO SASA UNARU TRA KUOMBA TAX CLEARANCE.
5. UKIPATA HIKO CHETI SASA NDIO UNAENDA HALMASHAURI KUANZA PROCESS ZA KUPATA LESENI YA BIASHARA.
NAAMINI KWA UCHACHE NIMESAIDIA WENGI NA NIMEELEWEKA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu ndo tunaanza na Corona hii
 
Naomba nichukue nafasi hii kuelimisha na kueleza utaratibu kamili wa namna ya kupata TIN ya BIASHARA hapa maana yake kuna TIN si ya Biashara na process nzima ya uanzishwaji wa biashara kwa kujisajili TRA.
1. Utaende ofisi za TRA utapatiwa fomu 3.
A. Fomu kwa ajili ya maombi ya TIN NB TIN UNAWEZA PIA JAZA MWENYEWE ONLINE LKN UTALAZIMIKA KUFIKA TRA KUPATA CHETI HALISI.
B. Fomu kwa ajili ya mwenyekiti wa mtaa au kitongoji ambacho utafanyia biashara yako
C. Fomu kwa ajili ya maelezo yako binafsi ambayo huwa Kurasa 3.
2. Ukishajaza hizo fomu utarudisha TRA sambamba na vitu vifuatavyo.
A. Mkataba wa pango wa sehemu ile ambayo utafanyia bishara yako, hapa kama hujapanga basi utalazimika kupeleka risiti ya kodi ya jengo inayoonesha jina sawa na lako au Barua ya mwenyekiti wa mtaa/kitongoji yenye kuthibitisha kuwa eneo lako sio la kudumu au ni banda la kuhamishikika na hujapanga.
B. Passport size zako 2 hizi ni kwa ajili kufungulia faili hapo TRA.
3. Utaratibu wa makadirio hufata hapa sasa huzingaitia MAUZO na sio MTAJI. NASISITIZA TENA HUZINGATINA MAUZO NA SI MTAJI. Lakini hapa pia unaweza KIJIKADIRIA KODI WEWE MWENYE KWA SHARTI LA KUFILE RETURN ZAKO KILA MWAKA.
4. Ukishakadiriwa kodi na kusaini sasa utatatikiwa kulipa angalau awamu moja + Zile kodi ya zuio na kodi ya stampu kama sehemu yako umepanga.
AFTER HIYO SASA UNARU TRA KUOMBA TAX CLEARANCE.
5. UKIPATA HIKO CHETI SASA NDIO UNAENDA HALMASHAURI KUANZA PROCESS ZA KUPATA LESENI YA BIASHARA.
NAAMINI KWA UCHACHE NIMESAIDIA WENGI NA NIMEELEWEKA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umemaliza kila kitu.
 
upo sahihi mkuu, ila kwa sasa leseni unaomba online, nilienda halmashauri ndio nikaambiwa hivyo, na mimi pia niliomba online, link hii hapa Home - TNBP

Sent using Jamii Forums mobile app
upo sahihi mkuu, ila kwa sasa leseni unaomba online, nilienda halmashauri ndio nikaambiwa hivyo, na mimi pia niliomba online, link hii hapa Home - TNBP

Sent using Jamii Forums mobile app
upo sahihi mkuu, ila kwa sasa leseni unaomba online, nilienda halmashauri ndio nikaambiwa hivyo, na mimi pia niliomba online, link hii hapa Home - TNBP

Sent using Jamii Forums mobile app
inategemea Mimi nilienda kuchukua leseni yangu mwezi mmoja uliopita pale mwenge karibu TRA, walinipa tu control namba kisha nikalipia CRDB na kurudisha ,baada ya siku tatu nikapewa leseni yangu....anahitaji Halimashauri ya manispaa wanapotoa leseni nenda hata pale mwenge mpakani utaona kontena lao.
 
1. Kupata TIN kwa mtu binafsi
Mhitaji wa TIN anaweza kwenda ktk ofisi za TRA zilizopo karibu na eneo analofanyia biashara kwa ajili ya usajili wa TIN ambapo atapewa fomu ya maombi na atajaza na kuambatanisha vielelezo vifuatavyo:
1. Barua ya Utambulisho wa makazi kutoka katika serikali ya Mtaa
2. Kitambulisho cha Taifa/Namba za kitambulisho cha Taifa kama haujapata kitambulisho
2. Picha 2 za passpoti saizi
3. Mkataba wa pango la sehemu ya biashara kama amepanga na kama hajapanga bhasi risiti ya malipo ya kodi ya majengo

Kwa mujibu wa sheria ya usimamizi wa kodi ya mwaka 2015, sect 35, Cap 438 mtu hy HUKADIRIWA KODI (Hajikadirii) na kuna viwango vya kulipa kodi vimewekwa kutategemeana na kama anaweka kumbukumbu au haweki. Kwa sheria mpya zilizoanza kutumika 2020, mauzo ya au zaidi ya mil 100 ataandaa hesabu za mizania (lazima kwn takwa la kisheria) na pia kumetolewa muda huru (grace period) ya siku 180 ambapo hatalipa kodi ya mapato kwa biashara mpya.

Kodi atakazolipa ni
A. Kodi ya zuio ya 10% ya thamani ya mkataba wa pango aliyolipa kama kapanga eneo la biashara
B. Ushuru wa stempu 1% kutokana na mkataba wa pango wa eneo la biashara alilopanga

B: Cheti cha Mlipa Kodi ie Tax Clearance Certificate
1. Mlipa kodi ataomba cheti hiki baada ya kukamilisha malipo ya kodi ya zuio na ushuru wa stempu
2. Mlipa kodi atasema Cheti kielekezwe kwenda manispaa/mamlaka ipi kwa ajili ya leseni

2. Kupata Leseni
Hili ni takwa la kisheria rejea Sheria za Leseni za Biashara Na. 25 ya mwaka 1972 kifungu 3(a)
Kwa sasa mfumo unatambulika rasmi ni wa kuomba online kupitia tovuti ya biashara ie TNBP (japo kuna manispaa unaomba mfumo wa zamani). Lakini juu ya yote utaomba leseni kwa njia zote kwa kuambatanisha vielelezo hivi:
1. TIN (ulipata TRA)
2. TAX Clearance Certificate
3. Mkataba wa pango uliolipiwa kodi ya zuio na stempu
4. Kujaza fomu ya leseni no TFN 211 ya 2004 kwa zamani ila kwa sasa kuna data sheet mtandao utakupa mwongozo
5. Inategemea na aina ya biashara kwn kuna baadhi ya biashara utalazimika kuwasilisha vielelezo toka mamlaka nyingine za kuruhusiwa kufanya biashara

Regards

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau, ushauri wenu ni muhimu sana hapa kwa mustakabali wa maisha yangu na familia yangu.

Moja kwa moja kwenye mada.

Ipo hivi, mimi nina kampuni ambayo kwa sasa sitaitaja kwa sababu suala bado haijaisha, mwaka 2018 nilienda TRA kufahamu taratibu juu ya ulipaji wa kodi za serikali. Walinikabidhi kwa wakala wao wa mahesabu (tax consultant) kwa kuwa kipindi hicho sikuwa na mhasibu. Wakala huyu alianza kutengeneza hesabu za miaka miwili 2017 na 2018, baada ya kukamilisha hesabu za miaka hiyo miwili alonionyesha kiwango cha kodi nachotakiwa kulipa kilikuwa jumla ni millioni 5.8, hivyo nilisaini mahesabu Yale na akayapeleka TRA.

Sikujua kama TRA watapitia tena mahesabu yale kama taratibu zao zinavyowataka wanaita assessment, hivyo baada ya kuyapitia walisema ninatakiwa kulipa kodi ya Tshs millioni 45.3, kwa kweli nilishangaa sana hivyo niliamua kuwaona ili nijue tofauti kubwa kiasi imesababishwa na nini. Walinitaka niende na tax consultant wangu ili watupe maelezo, lakini cha ajabu huyu tax consultant alikataa kwenda TRA na kwa ujumla hakuonyesha ushirikiano kabisa juu ya hili suala, na mimi sina uweledi wowote wa masuala ya kihasibu.

Niliamua kuwaandika barua TRA kuwajulisha kuwa hayo mahesabu siyatambui na nahitaji muda zaidi niyapitie na wakala mwingine wa TRA (tax consultant) mwingine ambaye nilimchagua mwenyewe. Cha ajabu TRA walinikatalia ombi langu na kumtaka tax consultant wa awali arekebishe hizo hesabu, tulipewa muda kama wiki moja.

Alipomaliza kurekebisha na kuzirudisha tena TRA ili ziendane na mahesabu ya awali, ilishindikana na nilitakiwa kulipa kodi ileile ya 45.3 million, pia wamenipa mwezi mmoja niwe nimeshalipa la sivyo hatua zaidi zitachukuliwa.

Kwa kifupi, kampuni ninayoiongoza ni mpya na haijawahi kuwa hata na Tshs 5 millioni bank, hivyo kwa ujumla hivyo kodi haiwezi kulipika. Wamesema kama sikubaliani na hivyo kodi inabidi nikate rufaa kwa kamishna wa TRA kwa sharti la kulipa theruthi ya kodi ninayodaiwa ambayo ni Tshs 15.1 millioni, ambazo pia hazilipiki maana kampuni haina uwezo wa kulipa ili rufaa isikilizwe, hata hivyo nimekosa imani kabisa na hawa TRA kwa sababu hata hivyo rufaa nikikata sina imani kama nitafanikiwa.

Nauliza hivi: Haiwezekani nikafungua kesi kwenye mahakama zetu za kawaida kuomba hesabu zirudiwe upya na kusitisha utekelezaji wowote kutoka TRA? Au ni njia gani nzuri naweza kutumia ili nijiepushe na hili janga?

Naombeni ushauri wenu kwa wale waliopitia suala kama langu au wale wanaofahamu wanishauri nini nifanye, naomba samahani kwa makala ndefu, japo nimejitahidi kuifupisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mambo ya kawaida tu boss. Wala usipanick. Kosa kubwa hapo ni huyo aliye kuandalia hesabu na sio TRA. Hakuwa muwazi kwako wa kukwambia kama uliwahi fanya imports au tin yako iliwahi kufanya biashara ya kununua gari au kadha wa kadha. Bila kufika mbali mtafute Tax consultant ambaye yuko smart akuambie ulikosea wapi. Baada ya hapo ongeeni nao TRA officers wawasaidie vipi. I hope you understand

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa sijakuelewa mkuu
Hayo ni mambo ya kawaida tu boss. Wala usipanick. Kosa kubwa hapo ni huyo aliye kuandalia hesabu na sio TRA. Hakuwa muwazi kwako wa kukwambia kama uliwahi fanya imports au tin yako iliwahi kufanya biashara ya kununua gari au kadha wa kadha. Bila kufika mbali mtafute Tax consultant ambaye yuko smart akuambie ulikosea wapi. Baada ya hapo ongeeni nao TRA officers wawasaidie vipi. I hope you understand

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau, ushauri wenu ni muhimu sana hapa kwa mustakabali wa maisha yangu na familia yangu.

Moja kwa moja kwenye mada.

Ipo hivi, mimi nina kampuni ambayo kwa sasa sitaitaja kwa sababu suala bado haijaisha, mwaka 2018 nilienda TRA kufahamu taratibu juu ya ulipaji wa kodi za serikali. Walinikabidhi kwa wakala wao wa mahesabu (tax consultant) kwa kuwa kipindi hicho sikuwa na mhasibu. Wakala huyu alianza kutengeneza hesabu za miaka miwili 2017 na 2018, baada ya kukamilisha hesabu za miaka hiyo miwili alonionyesha kiwango cha kodi nachotakiwa kulipa kilikuwa jumla ni millioni 5.8, hivyo nilisaini mahesabu Yale na akayapeleka TRA.

Sikujua kama TRA watapitia tena mahesabu yale kama taratibu zao zinavyowataka wanaita assessment, hivyo baada ya kuyapitia walisema ninatakiwa kulipa kodi ya Tshs millioni 45.3, kwa kweli nilishangaa sana hivyo niliamua kuwaona ili nijue tofauti kubwa kiasi imesababishwa na nini. Walinitaka niende na tax consultant wangu ili watupe maelezo, lakini cha ajabu huyu tax consultant alikataa kwenda TRA na kwa ujumla hakuonyesha ushirikiano kabisa juu ya hili suala, na mimi sina uweledi wowote wa masuala ya kihasibu.

Niliamua kuwaandika barua TRA kuwajulisha kuwa hayo mahesabu siyatambui na nahitaji muda zaidi niyapitie na wakala mwingine wa TRA (tax consultant) mwingine ambaye nilimchagua mwenyewe. Cha ajabu TRA walinikatalia ombi langu na kumtaka tax consultant wa awali arekebishe hizo hesabu, tulipewa muda kama wiki moja.

Alipomaliza kurekebisha na kuzirudisha tena TRA ili ziendane na mahesabu ya awali, ilishindikana na nilitakiwa kulipa kodi ileile ya 45.3 million, pia wamenipa mwezi mmoja niwe nimeshalipa la sivyo hatua zaidi zitachukuliwa.

Kwa kifupi, kampuni ninayoiongoza ni mpya na haijawahi kuwa hata na Tshs 5 millioni bank, hivyo kwa ujumla hivyo kodi haiwezi kulipika. Wamesema kama sikubaliani na hivyo kodi inabidi nikate rufaa kwa kamishna wa TRA kwa sharti la kulipa theruthi ya kodi ninayodaiwa ambayo ni Tshs 15.1 millioni, ambazo pia hazilipiki maana kampuni haina uwezo wa kulipa ili rufaa isikilizwe, hata hivyo nimekosa imani kabisa na hawa TRA kwa sababu hata hivyo rufaa nikikata sina imani kama nitafanikiwa.

Nauliza hivi: Haiwezekani nikafungua kesi kwenye mahakama zetu za kawaida kuomba hesabu zirudiwe upya na kusitisha utekelezaji wowote kutoka TRA? Au ni njia gani nzuri naweza kutumia ili nijiepushe na hili janga?

Naombeni ushauri wenu kwa wale waliopitia suala kama langu au wale wanaofahamu wanishauri nini nifanye, naomba samahani kwa makala ndefu, japo nimejitahidi kuifupisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari yako mkuu.. Naomba kwa heshima na taadhima nikupe angalau ABC ya namna gani unaweza kukabiliana na hiyo hali. Na hapa pia nitajaribu kuweka wazi ili watu wengi na wanajamii forums angalau waelewe na hatimaye kuiamini au hata kuilewa TRA na majukumuku yake.
Kwanza kabisa nataka utambue kuwa.. WATU PEKEE WANAOTAKIWA KUANDAA VITABU VYAKO NI WAHASIBU WENYE CPA. usiende Kwa hao TAX CONSULTANTS hao kazi yako kubwa ni kukushauri namna ya kulipa kodi na kodi zipi ni halali na angalau wanaweza kujua zipi ni TAXABLE NA NON TAXABLE lakini hawajui namna ya kuandaa VITABU yaani FINANCIAL STATEMENTS by proffessional.
Pili nataka utambue kuwa hivyo vitabu vyako vitakuwa na vina some expenses ambazo kwa TRA lazima zikatwe kodi, yaan hurejeshwa ili kodi ikatwe then ucalculate hiyo profit yako.
Tatu nakuomba angalia mauzo yako yaan REVENUE kwenye INCOME STATEMENT YAKO NA LINGANISHA NA YA EFD machine. Any different inaleta faini ya 4.5 M. Lakini pia angalia gharama mbalimbali ulizotumia kuna zingine ziliondolewa kiuhasibu ili kupata hiyo faida lkn kwa TRA zinarudishwa ili kupata kodi halisi. LAKINI PIA KUTOWASILISHA RETURN ZA MIAKA MIWILI NI KOSA KISHERIA HIVYO WAO WATAKUKADIRIA KWANZA KWA MIAKA 2 HIYO NA ULIPO SASA HIVYO HIYO AMOUNT INAWEZA FIKA BILA SHIDA MKUU.
Nne angalia pia muda ambao ulifile return zako kama ulikuwa nje ya muda hapo pia kuna FAINI. Lakn pia kama kampuni unatakiwa ujue una wafanyakazi wangapi na kama wamefika 4 hapo unatakiwa kupeleka SDL na PAYE kwa kila mwezi na hapo ndio unaona sasa kodi ni kubwa kutokana na malimbikizo hayo. Lakin pia kama kampuni unatakiwa USAJILIWE VAT na kama hujasajiliwa kwa uzembe hapo unaweza pigwa offence na kupelekea kodi kuwa kubwa kiasi hicho.
USHAURI WANGU
Tafuta wahasibu wenye CPA wakuandalie mahesabu vizuri kupunguza hizo tofauti na usiogope kuwalipa vizuri maana ndio kazi yao. Sijaona haja uwape lawama TRA kwamba wanataka RUSHWA wakati hayo malipo HULIPWA KUPITIA BANKS NA WITH CONTROL NUMBER. Wewe rudi TRA waambie naomba muda nikarekebishe vitabu kwa kuangalia hints ndogondogo nilizokupa.
UTANISHUKURU BAADAE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeeleza vizuri ila hapo mwisho huo muda mchache wa kuipata leseni ni takribani siku ngapi kwa wastani
Jinsi ya kupata TIN number unatakiwe uende ofisi ya TRA iliyopo wilayani kwako na vitu vifuatavyo, kitambulisho chako cha taifa, mkataba wa pango uliopanga, kama fremu ni yako mwenyewe basi uende na risiti na ya kodi ya majengo, barua ya serikali ya mtaa uliopanga hiyo fremu,na picha yako moja ya passport size, baada ya kukamilisha hivyo vitu unaenda TRA watakukadiria kodi( kodi ya TRA inatokana na mtaji wako).

Baada ya hapo utapewa TIN number siku hiyo hiyo, baada ya kupewa tin number utatakiwa kulipa kodi waliokwambia, ukishalipa hiyo kodi utarudi TRA ili upewe tax clearance. kama Kuhusu kupata leseni ya biashara, kwa sasa mfumo umebadilika, hakuna haja ya kwenda halmashauri utaomba leseni online na baada ya hapo utapewa control number online utaenda kulipia bank au kwenye simu na leseni yako utaipata baada ya siku chache tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna akili!
Hasira za kutofikishwa kileleni umeona sehemu ya kuzimalizia ni hapa jf?
Ujuha ufanye wewe utuletee sisi sokomoko.

Mfanya biashara ana muda kupoteza JF kubishana 5,000? Ujuha huo.

Mfanya biashara analalamika bahasha ya kumpelekea mama'ke kuilipia 5,000?

Unapeleka hizo bahasha mara ngapi kwa siku?

5,000 hiyo ndiyo uje kuifungulia uzi humu? Si ungeenda kushitaki polisi au TRA? Huzijuwi ofisi zao zilipo?
 
Habari yako mkuu.. Naomba kwa heshima na taadhima nikupe angalau ABC ya namna gani unaweza kukabiliana na hiyo hali. Na hapa pia nitajaribu kuweka wazi ili watu wengi na wanajamii forums angalau waelewe na hatimaye kuiamini au hata kuilewa TRA na majukumuku yake.
Kwanza kabisa nataka utambue kuwa.. WATU PEKEE WANAOTAKIWA KUANDAA VITABU VYAKO NI WAHASIBU WENYE CPA. usiende Kwa hao TAX CONSULTANTS hao kazi yako kubwa ni kukushauri namna ya kulipa kodi na kodi zipi ni halali na angalau wanaweza kujua zipi ni TAXABLE NA NON TAXABLE lakini hawajui namna ya kuandaa VITABU yaani FINANCIAL STATEMENTS by proffessional.
Pili nataka utambue kuwa hivyo vitabu vyako vitakuwa na vina some expenses ambazo kwa TRA lazima zikatwe kodi, yaan hurejeshwa ili kodi ikatwe then ucalculate hiyo profit yako.
Tatu nakuomba angalia mauzo yako yaan REVENUE kwenye INCOME STATEMENT YAKO NA LINGANISHA NA YA EFD machine. Any different inaleta faini ya 4.5 M. Lakini pia angalia gharama mbalimbali ulizotumia kuna zingine ziliondolewa kiuhasibu ili kupata hiyo faida lkn kwa TRA zinarudishwa ili kupata kodi halisi. LAKINI PIA KUTOWASILISHA RETURN ZA MIAKA MIWILI NI KOSA KISHERIA HIVYO WAO WATAKUKADIRIA KWANZA KWA MIAKA 2 HIYO NA ULIPO SASA HIVYO HIYO AMOUNT INAWEZA FIKA BILA SHIDA MKUU.
Nne angalia pia muda ambao ulifile return zako kama ulikuwa nje ya muda hapo pia kuna FAINI. Lakn pia kama kampuni unatakiwa ujue una wafanyakazi wangapi na kama wamefika 4 hapo unatakiwa kupeleka SDL na PAYE kwa kila mwezi na hapo ndio unaona sasa kodi ni kubwa kutokana na malimbikizo hayo. Lakin pia kama kampuni unatakiwa USAJILIWE VAT na kama hujasajiliwa kwa uzembe hapo unaweza pigwa offence na kupelekea kodi kuwa kubwa kiasi hicho.
USHAURI WANGU
Tafuta wahasibu wenye CPA wakuandalie mahesabu vizuri kupunguza hizo tofauti na usiogope kuwalipa vizuri maana ndio kazi yao. Sijaona haja uwape lawama TRA kwamba wanataka RUSHWA wakati hayo malipo HULIPWA KUPITIA BANKS NA WITH CONTROL NUMBER. Wewe rudi TRA waambie naomba muda nikarekebishe vitabu kwa kuangalia hints ndogondogo nilizokupa.
UTANISHUKURU BAADAE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana.
 
Back
Top Bottom