Uzi maalumu: Kijiwe cha Soga kwa waliowahi na wanaoendelea kukaa nje ya Tanzania

[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe wewe ni jobless!??
 
Km anafanya kwa ajili ya watu we mwenyewe si mtu? Kinachofanya ukimbie ni kitu gani?
 
Sijawahi kukosa visa hata ya zile nchi ngumu kwenda toka nianze kusafiri
 
Wewekwa sasa una nafasi kubwa ya kubadilisha katiba ya Marekani iruhusu wasio wazawa kuwa rais, ugombee urais 2020, ushindena kuwa rais wa Marekani, kuliko kushinda hiyo Jackpot.

Una nafasi kubwa ya kujiunga unga ufanye biashara ya mazao Bongo mpakauzipige hizo 1.6 B kulikokwenye Mega.

Lakini, wanasema "you gotta be in it, to win it".

Much success to you.
 
Thanks bro.

Mwenyeji wangu ananicheka sana eti napiteza hela yangu. Nimetumia almost 100$ kwenye mega na powerball.

Ila nimecontempate na kuchukua mda wa kutosha kuchagua namba.

Tiketi nimeziweka kwenye holly Bible.

ITS NOW OR NEVER

YESU SHUKA
 
Thanks bro.

Mwenyeji wangu ananicheka sana eti napiteza hela yangu. Nimetumia almost 100$ kwenye mega na powerball.

Ila nimecontempate na kuchukua mda wa kutosha kuchagua namba.

Tiketi nimeziweka kwenye holly Bible.

ITS NOW OR NEVER

YESU SHUKA
Yesu akishuka Powerball itakuwa haina maana, unataka Yesu ashuke au unataka kushinda Powerball,changua moja.
 


Asilimia 99% ya wabongo nje ya nchi never assimilate na wazawa, siku zote ni wao kwa wao tu na wanaendekeza ujinga ule ule wa kibongo huko majuu. Wanachukuliana mabwana na mademu, umbea, majungu yasiyo na tija kwao, kuchukiana, na kuchunguzana maisha ndiyo furaha yao. Asikudanganye mbongo yoyote kuhusu hili, wale wanao assimilate na wazawa ni wale wababishaji wauza nganda (sembe) na wanafanya hivi kwa sababu hawana jinsi ya kuishi. Changamoto kubwa ya wabongo waishio nje ni wabongo wenzao, wanauzana sana na kuchomeana immigration kwa ajili ya chuki zao za kijinga. Ndiyo maana nilipokuwa naishi majuu for 4 years (shule) sikutaka kujihusisha na wabongo hata siku moja mpaka nikarudi Bongo.
 
Mkuu unayosema kweli kabisa. Yani mbongo wanachomeana sana polisi na immigration. Kuna waliorudishwa/deported bongo kwa kuchomewa. Mimi na wabongo wenzangu mbali mbali sana.

Nimeishi shared apartment na manationalites wengine hadi majuz niliamia ghetto langu mwenyewe.

Nasio wabongo tu hata manigger wengine tabia yao iyo iyo wenyewe kwa wenyewe.
 


Watanzania wa diaspora wako very pathetic/useless.....tabia zao ni kama za wanaume wa Dar tu au mapashikuna ya Tandale huko majuu. Ona Mange Kimambi anavyofuatilia maisha ya wenzake na kuwachamba mtandaoni. Hivi ndivyo walivyo watanzania wengi nje ya nchi, they never assimilate, sijuwi wanaogopa lugha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…