Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
- Thread starter
-
- #181
Mkuu,subiri wadau watazipandisha hapa Jf!Jamani kuna kwaya siikumbuki jina ila nakumbuka mistari ya nyimbo zao mbili tu, kama kuna member anazijua au anazo atakua amenipa zawadi kubwa kuliko zote mwaka huu 2016.
[1] Bwana mungu amekuumba mweusi Mungu amependezwa na weusi wako.
Bwana mungu amekuumba mweupe Mungu amependezwa na weupe wako.
Ajabu kwamba watu hawathamini uumbaji wake Bwana Mungu baba,
Wamesahau kwamba wao mavumbi na huko tutarudi kwake Bwana.
Wimbo wa pili nakumbuka mistari michache tu,
Nikupe nini Mungu wangu eeh mungu wangu, ulinipa bila kuomba mimi eeh Mungu wangu. Kila kitu ni mali yako baba eeeh Mungu wangu.
Shukrani in advance watu wa Bwana.
"Kama una huzuni moyooni mwaambie yesu, mwaambie yesu msaidizi kweli huutapata mwingine mwaambie yesu ..."Mimi naomba kama kuna mtu anazo za mh. Martha Mlata. ..2005 alitoa CD nzuri sana. ..nimeitafuta sana sijaipata. ..natanguliza shukurani. ..
Weka basi na ule unaitwa VUMILIA uko kwenye album hii basi kama unao.Internal Gospel Choir!
Yu Mwema!
We dada mkali!unanikumbusha mbali...acha nizitafute!Hii mingine miwili
1. Parapanda ya Bwana italia siku ile
Atakaporudi Yesu kuchukua kanisa lake
Tujitayarisheni, siku hiyo ya kutisha
Ole kwa wale wote, wasiomuamini Yesu
Ndipo Bwana atasema ondokeni kwangu,
Ninyi nyote mliolaaniwa na Baba yenu,
Wataomboleza na kusaga meno, watakapotupwa kwenye moto wa milele....
2. Unafikiria nini, ulimwengu ni wa shida
Tena unajidanganya wewe, na mambo ya ulimwengu
Kanisani umeacha ulikuwa unategemewa. ...............