Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu wimbo waliimba kwaya fln ya mbeya, nimeshautafuta sana kwa kila njia bila mafanikio. Nimeenda hadi kwa waganga lakini wapiii!!!![emoji3][emoji3][emoji3]Habarini waungwana
Mwenye nyimbo ya Nitamwandama bwana alienikomboa ule old version hawa ndo naupenda huu uliotoka miaka saba 2013 sijaupenda
.
Na kuna mwimbo wa zamani sijui waliimba choir gan unaimbwa
Yuda alikufa sababu ya kupenda pesa wanadamu wengi tumetawaliwa na pesa pesa inauwaaaaaaaa
Acha vituko mkuu🤪🤪🤪🤪Huu wimbo waliimba kwaya fln ya mbeya, nimeshautafuta sana kwa kila njia bila mafanikio. Nimeenda hadi kwa waganga lakini wapiii!!!![emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna album moja ya kwaya ambayo kwenye cassette yake kulikuwa na picha ya kifaru cha vita....nimeisahau jina...kama kuna mtu atakuwa anaikumbuka ile cassette na jina lake atabarikiwa sana
Habari... Naomba wimbo wa Mapambazuko umeimbwa na Nioth Prophetical singers. Wale walioimba Unangoja nini..
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta wimbo huu 'nenda fanya kazi ile ya bwana, usiuhesabu muda' najua umeimbwa na kkkt ila sina uhakika ni kimara au kijitonyama. Naomba msaada mwenye nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu wimbo uliimbwa na kwaya ya kanisa la undugu, wako pale keko/chang'ombe maduka mawili...Kaka, kuna moja ilikuwa inaimba hivi
“Angalieni ndege wale wa angani, hawapandi wala hawavumi. Lakini muumba wetu mwenye uwezo huwalisha kila siku (Mara 2) “
Chorus
“Wale ndege wote wa angani wa angani
Wanakula kwa uwezo wake MUNGU
Kawaumba ndege wake mwenyewe wake mwenyewe
Hawawezi kuwaacha wafe na njaa.”
Hii nyimbo ilikuwa inapigwa sana Radio Tumain mwishoni mwa miaka na 90 na mwanzoni mwa miaka ya elfu 2. Mwaka jana nilijaribu kuwaandikia radio Tumaini kuhusiana na hii nyimbo ila walishindwa kunisaidia huenda wale watangazaji waliokuwepo wameshastaafu au Wapo radio zingine. Sijui unaifahamu & au kuna mtu mwenye ataweza ikumbuka sijui ilikuwa ni choir gani ile[emoji17][emoji1751]
Nami nimehangaika sana kuupata huu wimbo na nyingine za hii albam yao. Nilikuwa na Cassette yao ila waungwana wakawa wajanja wakajibinafsishia.Huu wimbo waliimba kwaya fln ya mbeya, nimeshautafuta sana kwa kila njia bila mafanikio. Nimeenda hadi kwa waganga lakini wapiii!!!![emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi sijafika kwa waganga lakini kuupata huo wimbo ni tatizo kwa sasa.Acha vituko mkuu🤪🤪🤪🤪
🤪🤪 Tujitahidi kuitafuta mkuuMimi sijafika kwa waganga lakini kuupata huo wimbo ni tatizo kwa sasa.
Kuna wimbo sijui iliimba kwaya gani? Haya ni baadhi ya maneno ndani ya wimbo huo "Jerusalem *2 uuae manabii......Msalaba umeku kumbatia kama vile kifanga cha kuku Chini mbawa zake lakini umekataa " Naomba mwinye kujua huu ni wimbo wa kwaya gani anijuze au mwenye wimbo huu anitumie what's app. 0765544791 Natanguliza shukrani
Pesa inauaaaHabarini waungwana
Mwenye nyimbo ya Nitamwandama bwana alienikomboa ule old version hawa ndo naupenda huu uliotoka miaka saba 2013 sijaupenda
.
Na kuna mwimbo wa zamani sijui waliimba choir gan unaimbwa
Yuda alikufa sababu ya kupenda pesa wanadamu wengi tumetawaliwa na pesa pesa inauwaaaaaaaa
Daah huu wimbo jamani (japo maneno mengine nimeyasahau)
Mara ngapi nimekukusanya, kama vile vifaranga
Vya kuku chini ya mbawa, lakini umekataaa
Maonyo mengi umesikia, lakini umekataa
Kumbuka usipookolewa, utakwenda Jehanamu
Yerusalem, umeimbwa na Naith Prophetic SingerDaah huu wimbo jamani (japo maneno mengine nimeyasahau)
Mara ngapi nimekukusanya, kama vile vifaranga
Vya kuku chini ya mbawa, lakini umekataaa
Maonyo mengi umesikia, lakini umekataa
Kumbuka usipookolewa, utakwenda Jehanamu
Jamani ubarikiwe sana. Umenikumbusha na huu wimbo pia
Zipo You Tube....Jamani ubarikiwe sana. Umenikumbusha na huu wimbo pia
1. Kazi yake Bwana Yesu, ya kuokoa wanadamu
Ilikuwa ngumu sana, kwake mwokozi kuimaliza.
(Yesu mwokozi)
Alihuzunika Bwana Yesu moyoni mwake
(Akasema)
Akasema eeh Bwana wangu kikombe hiki
(Kiniepukeeee)