Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,644
- 1,648
Sina mawasiliano, na nimeshahama Dar...Mkuu, hebu jitahidi kuniulizia ulizia. Maana ni miaka mingi imepita mara ya mwisho kuusiikiliza huu ilikuwa ni 1999 redioni.
Nimetafuta sana old version za nyimbo hizi hasa Nina Aman, Jehanam n.k sijafanikiwaHizi ziliimbwa na Shari Martin, mara nyingi akishirikiana na Tana River Gospel Singers. Ni waimbaji wa Kenya
Pia utakuta nyimbo kama:
Tangazo la Ajabu
Nina Amani
Christmas
A child is born
It's only you
Rafiki pesa
Jina la Yesu
Mistari michache
Tangazo la Ajabu:
(Nina tangazo la ajabu,
kwa watu wa dunia tahadhari)x2
(Ni Wakorintho wa pili,
Mlango ni wa sita fungu la pili)x2
Linasema Huu ndio wakati
wa kuokoka
mimi ndimi njia kweli na uzima
mtu haji kwa baba ila ni kwa njia ya mimi...
Jina La Yesu:
Jina la Yesu, libarikiwe
Jina la Yesu lihimidiweee
Jina la Yesu, lipewe sifa,
Jina la Yesu liheshimiwe sana
...
Yesu chomboni, na wanafunzi wake
Yesu kalala, bahari ikachafuka
BWANA twazama, Yesu tuokoe
Yesu katuliza dhoruba na bahari
Kumbuka Yesu katenda mengi,
Mapepo kafukuza na wafu akafufua
Mitume nao kwa jina lake
walifanya mengi jina la Yesu halichakai
Mwone Petro naye Yohana
Sinagogini, na yule kiwete
Hatuna fedha wala dhahabu
kwa jina la Yesu INUKA, naye kainukaa
Jina la Yesu, libarikiweee
Jina la Yesu lihim...
Nitag ukizipata, nazitafuta mnoKuna kwaya moja ya 90's ilikua Arusha inajiita HURU SINGERS naskia walikua madada wa kizungu. Wana vibao vyao vya kiroho kama JINA LA YESU, HAKUNA MUNGU KAMA WEWE, ROHO MTAKATIFU, DAMU YA YESU na nyingine kibao. Atae vipata jamani anisaidie.
Nilijua hizo nyimbo waliimba wakenyaKuna kwaya moja ya 90's ilikua Arusha inajiita HURU SINGERS naskia walikua madada wa kizungu. Wana vibao vyao vya kiroho kama JINA LA YESU, HAKUNA MUNGU KAMA WEWE, ROHO MTAKATIFU, DAMU YA YESU na nyingine kibao. Atae vipata jamani anisaidie.
MKuu nakushukuru Sana...!! Japo sikuuomba Mimi Nimejikuta nausikia Leo Hapa. Kwa Kweli nimebarikiwa Sana.. nimeusikiliza tangu asubuhi na Siku Yangu imekuwa ya Baraka Sana...!!
Nina Nyimbo Mbili Roho Mtakatifu na Napenda Kufanana nawe. Natumia simu ndogo. Kesho nitajitahidi kuzipandisha humuNilijua hizo nyimbo waliimba wakenya
Dah, aisee wewe ni hatari sana, Huna namba yake
Sina mawasiliano, na nimeshahama Dar...
Waweza tembelea hiyo sehem, ninachokumbuka ni kuwa hiyo Albam yao waliiotoa, enzi hizo ni audio cassette.. na mzee wangu aliinunua
Mkuu, hata mimi nazisubiri kwa hamu sana hizo nyimbo.Nimekuwa nazitafuta kitambo sasa.N
Nina Nyimbo Mbili Roho Mtakatifu na Napenda Kufanana nawe. Natumia simu ndogo. Kesho nitajitahidi kuzipandisha humu
Nipo nasoma..
Nipo nasoma.. View attachment 2073799