Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Mkuu, hebu jitahidi kuniulizia ulizia. Maana ni miaka mingi imepita mara ya mwisho kuusiikiliza huu ilikuwa ni 1999 redioni.
Sina mawasiliano, na nimeshahama Dar...
Waweza tembelea hiyo sehem, ninachokumbuka ni kuwa hiyo Albam yao waliiotoa, enzi hizo ni audio cassette.. na mzee wangu aliinunua
 
Nimetafuta sana old version za nyimbo hizi hasa Nina Aman, Jehanam n.k sijafanikiwa
 
Wakuu naombeni sana nyimbo za huru waimbaji ni wakenya waliimba nyimbo kama

1. Sisi ni washindaji
2. Ee napenda kufanana nawe

Album yao naipataje hata wimbo mmoja mmoja
 
Kuna kwaya moja ya 90's ilikua Arusha inajiita HURU SINGERS naskia walikua madada wa kizungu. Wana vibao vyao vya kiroho kama JINA LA YESU, HAKUNA MUNGU KAMA WEWE, ROHO MTAKATIFU, DAMU YA YESU na nyingine kibao. Atae vipata jamani anisaidie.
Nitag ukizipata, nazitafuta mno
 
Kuna kwaya moja ya 90's ilikua Arusha inajiita HURU SINGERS naskia walikua madada wa kizungu. Wana vibao vyao vya kiroho kama JINA LA YESU, HAKUNA MUNGU KAMA WEWE, ROHO MTAKATIFU, DAMU YA YESU na nyingine kibao. Atae vipata jamani anisaidie.
Nilijua hizo nyimbo waliimba wakenya
 
Naomba mwenye nyimbo za Kolandoto kwaya hasa ule wa "USIKU WA SIFA" NA "SIKU ILE"
 
naomba wimbo wa Beatrice muhone unaitwa hakuna rafiki kama yesu
 
Naombeni nyimbo za
1-Mungu wangu mbona umeniacha ya katoliki kwaya
2-Navumilia by katoliki kwaya
3-Kwa nini wasimama mbali ya katoliki kwaya
 
natafuta wimbo wa dini ameimba Beatrice muhone
anaimba hivi
hakuna rafiki kama yesu
yu pekee yu pekeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…