Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

musa kaona kijiti kikiwaka-Tumaini kwaya arusha naiomba(naomba pia nisahihishwe kama nimekosea jina la wimbo)
 
Umeuliza kuhusu Sedekia na RHM, ni kwamba Sedekia alishaimba na New Life Band, kama unawajua hawa vijana na band yao.

Ila Tanzania nzima walikuwa wanarekodi RHM.

Sidhani kama itatokea tena Gospel band kama NLB Tanzania

Na sio Sedekia tu ila pia kuna Upendo Kilahiro na Beatrice Muhone.

NLB Walitunga mapambio kama:-

- Iende mbelee injili hiyoo...iende mbeleee

- Ainuliwe Mungu wetu leooo...ainuliwe bwana wa mabwana

- Mji ulee una meremeta umepambwa mauaaa

Unakumbuka?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nashukuru kwa huo uchambuzi,hiyo band sidhani kama naipata kwakweli.
Old is gold.
 
Back
Top Bottom