Usikonde Mkuu,pamoja!Ingawa mimi sio muumini wa kikristo, lakini wimbo huu unaendana na maagizo ya dini ni nayo iamini, ndio maana ninaupenda
Tuko Pamoja Mkuu!Leo nimepata burudan ambayo niliikosa siku nyingi,zaman ndio walikuwa wanaimba.ASANTE SANA YOHANA KWA KULETA HUU UZI
Unabarikiwe sana nimekumbuka mbali sana hizi ndio zilikuwa nyimbo za kumsifu Mungu nanKumwabudu sio huu ujanja ujanja,waimbaji wa sasa wanawaza kutoka tu.Dah, umenikumbusha mbali sana mkuu, nimetoa na machozi, dah!!
Asante Sana,mkuu!Atakaye sema mi nimchoyo ananionea hzo hapoo but naomba album zake nzimaaa
Ya wimbo gani?Wakuu mkiweza kutupa Audio pia tutashukuru sana Watumishi
Samson na Delila mkuu, ntabarikiwa sanaYa wimbo gani?
Ok, hata hivyo natumia jf app.Jaribu kutumia JF app,au tumia p.c!
Acha Nikuweke Video,Halafu Utaiconvert Kwenye Audio Kwa Kutumia Tubemate ApplicationSamson na Delila mkuu, ntabarikiwa sana
Barabara ya 13!
Enzi Zile Za Nuhu!
Mvua Ilianza Kunyesha Bila Kukatika,Waliogolewa Wote Wakafa kwa Majii!dah Old is Godamn Gold!
Umefanya Vizuri,Hongera Mkuu!Hii page nitai-save kama favourite niwe najiburudisha zangu..