Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Mungu kaupenda ulimwengu, kamtoa mwana wa pekee
Ili kila amwaminiye yeye asipotee

Unangoja nini wewe mwenye dhambi
Bwana Yesu alikufia
Calvary alipitia ili uokolewe
Hao Wanaitwa Naioth Prophetic Singers na Wimbo Unaitwa Unangoja Nini?
Na Nishauweka Humu,ebu Cheki thread zangu za nyuma!
 
Mungu kaupenda ulimwengu, kamtoa mwana wa pekee
Ili kila amwaminiye yeye asipotee

Unangoja nini wewe mwenye dhambi
Bwana Yesu alikufia
Calvary alipitia ili uokolewe
Bali wote watenda dhambi hao ni wana wa shetani tena ni watumwa wa hizo dhambi wanazofanya

Bali wote walompokea walifanywa wana wa Mungu umwamini leo uache dhambi uwekwe huru
 
Hao Wanaitwa Naioth Prophetic Singers na Wimbo Unaitwa Unangoja Nini?
Na Nishauweka Humu,ebu Cheki thread zangu za nyuma!
Exactly, thank youuu


Bali wote watenda dhambi hao ni wana wa shetani tena ni watumwa wa hizo dhambi wanazofanya

Bali wote walompokea walifanywa wana wa Mungu umwamini leo uache dhambi uwekwe huru

yeah upo vizuri sana my dear
 
Uwiii ahsante

1. Siku ya kufa kwangu, mimi siifahamu
Inanibidi sasa, niyatengeneze maisha....

Mwili wangu ukiwekwa mle kaburini
Ndugu zangu watakuwa wameuzunguka
Kuuaga mara ya mwisho, hapa duniani
Itakuwa huzuni kubwa hapa duniani

Yatengeneze maisha siku ya mwisho. ..
Ukizitubu dhambi, siku ya mwisho utaokoka

Nahisi tu utakuwa unaufahamu huu wimbo

Nilianza safari, kutafuta amani
Lakini dunia yote ni vilio tupu. ..

Mimi nipo Kwa Yesu sitaki mwingine
Sababu dunia yote ni vilio tupu
Nawe mwanadamu mshike Muumba wako
Maana ni Mungu pekee atakusaidia
Inaonekana unatafakari maneno ya nyimbo za injili na sio beats

Nyimbo hizi ni IBADA KAMILI

Ila tu watu wengi wanasikiliza beats na sauti na sio ujumbe.

Itapendeza sana ikiwa wakristo wengi tutatafakari yaimbwayo katika nyimbo hizi, hasa za zamani zina hisia.

Barikiwa.
 
Inaonekana unatafakari maneno ya nyimbo za injili na sio beats

Nyimbo hizi ni IBADA KAMILI

Ila tu watu wengi wanasikiliza beats na sauti na sio ujumbe.

Itapendeza sana ikiwa wakristo wengi tutatafakari yaimbwayo katika nyimbo hizi, hasa za zamani zina hisia.

Barikiwa.
Barikiwa pia mpendwa. Kwenye hizi nyimbo unajikuta umezama kabisaaa
 
Back
Top Bottom