Hebu zitaje mkuu tuzifahamu!mi naona sehemu hizo ni za bei poa afu hata watoto wa la 7 wanaendaga so kujimix na watoto ni kujidharirisha.
mfanovroyal village simple sana pale vitoto vingi vinashindaga pale age 14yrs±
bado hujazunguka dom yote wewe kuna sehemu tulivu na za hadhi.
Wacha kuna tght bamba elf 3 na shifoni kali za elf 3 suruali za vitambaa viatu vya mtumba elf 5 vizurlile soko pale pemben ya nyerere square kwa mitoko mikali...na yule kaka anauzia wanafunzi coz work,tght,tip,shifoni
Demiss unapajua hapa fika maeneo hayo kwa pamba kali
Kwenye mahoteli hapo sawami naona sehemu hizo ni za bei poa afu hata watoto wa la 7 wanaendaga so kujimix na watoto ni kujidharirisha.
mfanovroyal village simple sana pale vitoto vingi vinashindaga pale age 14yrs±
bado hujazunguka dom yote wewe kuna sehemu tulivu na za hadhi.
Kweli kabisa,wageni tupo wengi!Na ndo ninachomaanisha kwenye uzi maana wengi wetu tumehamia hapa dom
Maeneo ya Veta veta au Tresure squareOkey , kuna venue moja kwa maza mmoja wa kichaga Maeneo ya Dowasco. Njia ya kwenda udom kabla ya BOT. Kuna msosi mtamu sana bufee ni Elfu saba. Huwa nakaa sana hapo na kupata [emoji481] baada ya shughuli zangu za hapa na pale. Huko kwengine nimeachana napo
Maeneo ya Veta veta au Tresure squareOkey , kuna venue moja kwa maza mmoja wa kichaga Maeneo ya Dowasco. Njia ya kwenda udom kabla ya BOT. Kuna msosi mtamu sana bufee ni Elfu saba. Huwa nakaa sana hapo na kupata [emoji481] baada ya shughuli zangu za hapa na pale. Huko kwengine nimeachana napo
PopoteWapiiii
Ebu zitaje mkuumi naona sehemu hizo ni za bei poa afu hata watoto wa la 7 wanaendaga so kujimix na watoto ni kujidharirisha.
mfanovroyal village simple sana pale vitoto vingi vinashindaga pale age 14yrs±
bado hujazunguka dom yote wewe kuna sehemu tulivu na za hadhi.
Kumbe kuna buffee la buku saba pale? Si unaongelea hapa opposite na ghorofa jipya la PSPF? Pembeni yake wanauza kitimoto?Okey , kuna venue moja kwa maza mmoja wa kichaga Maeneo ya Dowasco. Njia ya kwenda udom kabla ya BOT. Kuna msosi mtamu sana bufee ni Elfu saba. Huwa nakaa sana hapo na kupata [emoji481] baada ya shughuli zangu za hapa na pale. Huko kwengine nimeachana napo