Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Wakwea Mnazi kwa Mkono mmoja nao wanaweza kuchangia experience zao jinsi walivyoepukana na huyu MGENI?
Nakala:
dronedrake
Intelligent businessman
Nakala:
dronedrake
Intelligent businessman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana mkuuKupata joto sana, haswa nyakati za usiku
Kichwa kuuma kidogo kidogo japo mara kwa mara
Kukohoa kikohozi kikavu pia kinazidi nyakati za usiku
Homa za mara kwa mara
Kupungua uzito
Kuna mda nywere zinakuwa kama umewekea dawa zile za wanawake.....
Uzi wowote unaofunguliwa tunafungua ili kujifunza, hata kama mtu haumuhusuSasa mmefata nini kwenye huu Uzi?
Asante kwa elimu. Ngoja tuendelee kujitathimini.🙏🙏🙏akhsante bro
Msamehe mkuu mgonjwa mtarajiwa ajitangaxiSasa mmefata nini kwenye huu Uzi?
Kabisa kabisaaUzi wowote unaofunguliwa tunafungua ili kujifunza, hata kama mtu haumuhusu
Mimi umenifufua akili nizidi kujilinda na kumuomba Mungu pia
Hapa hata usingizi umeniyeyuka
Nenda kapime, tambua afya yako, ishi kwa matumainiUzi wowote unaofunguliwa tunafungua ili kujifunza, hata kama mtu haumuhusu
Mimi umenifufua akili nizidi kujilinda na kumuomba Mungu pia
Hapa hata usingizi umeniyeyuka
Nilishapima huu mwaka ulipoanza, wiki hii nitaenda tenaNenda kapime, tambua afya yako, ishi kwa matumaini
Sawa kabisa watu sijui wakojeAkhsante sana mdogo Angu🙏🙏🙏 ila sijaanzisha kwa ajili ya kupewa pole na hongera, ni kushare tu experience, au jf hakuna wenye VVU
Akhsante mdogo Angutisiopima kwa marumain tunaruhusiwa kushauri
mwamba hongeeraa wengine wanasubiri vichavuke wamsumbue nabiii...
Joshua_ok kumbe ni wewe?Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.
MUNGU ATAKUPONYA NDUGU YANGU ZIDI KUWA KARIBUNAMUNGU NA UWE NA IMANA
Akhsante mdogo Angu
Punguza ngono zembe, sijui kwanini wanawake wengi hamsistz matumizi ya condom, mnamuachia mwanaume ndo aamue. 🤐Nilishapima huu mwaka ulipoanza, wiki hii nitaenda tena
Mungu anisaidie.
P
Punguza ngono zembe, sijui kwanini wanawake wengi hamsistz matumizi ya condom, mnamuachia mwanaume ndo aamue. 🤐