Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

mGEN HUYU N MAARUFU MGEN AMEINGIA MGEN ANADANGANYA AISEE NAMKUMBHKA DK NA ULE WIMBO WA MGEN
 

Attachments

  • Screenshot_20240514-231241_Chrome.jpg
    Screenshot_20240514-231241_Chrome.jpg
    295.5 KB · Views: 19
Hizo tena dalili za kuumwa Ukimwi virusi vikiingia unaweza kupata kama homa za malaria mafua sababu kinga ya mwili inapambana kama mwezi kisha unakaa hata miaka 5-10 hujijui kisha dalili zinaanza kama ulizo taja hapo ndo maana siku hizi ukienda unaumwa homa unapimwa unaanzishiwa ARV nashukuru Mungu niko salama kila nikipimwa naogopa na siogopi labda mie Malaya naogopa mtu wangu nilonae kama anaruka ruka nje wake wengi tunaletewa na waume.
Kupata joto sana, haswa nyakati za usiku
Kichwa kuuma kidogo kidogo japo mara kwa mara
Kukohoa kikohozi kikavu pia kinazidi nyakati za usiku
Homa za mara kwa mara
Kupungua uzito
Kuna mda nywere zinakuwa kama umewekea dawa zile za wanawake.....
 
Back
Top Bottom