Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Mkuu Mungu akubariki Sana kaka,kupima na kujijua afya yako ni jambo jema Sana
Nashukuru Sana nimebadili tabia sifanyi ngono zembe kupimana kabla ya kunjunjana hataki aende.
Nb siku niliyojingundua Sina ukimwi sikukubali nikakaa miezi mi 3 majibu yakatoka Sina Tena nikapima Tena na Tena majibu nipo negative nilibadili kila kitu kwenye maisha yangu
Wakuu tusiamini kwa macho ukimwi upo na unauwa
 
Joshua_ok kumbe ni wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…