Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI


😛
Siku hizi ukimwi siyo kiviile. Miaka ya 90's ndiyo tuliishi kwa stress. Wachepukaji wakiona mke/mme wa fulani kafa kwa mkanda wa jeshi nao walianza kuugua kihoro.
 
ushauri mzuri kabisa mie nilikataa arv toka mwanzo. 17 nadunda ni mwendo wa mazoezi na kuzingatia lishe lakini pia ukiwa una gegeda usikamie show. wee piga 2min x 2 inatosha.
 
Duh
 
Aisee nimesikitika. Pole sana 😢
 
Hiyo njia ya 100% haipo na haitakuwepo, condom ina asilimia 90-95% za kukulinda hizo tano zinabaki kwenye mate au misuguano mingine during sex​
Sasa kwanini tutumie, bora mseme tusifanye kabisa au watafute njia yenye uhakika 100%
 
Hiyo njia ya 100% haipo na haitakuwepo, condom ina asilimia 90-95% za kukulinda hizo tano zinabaki kwenye mate au misuguano mingine during sex​
Kumbe kubadilishana mate na mgonjwa inaleta maambukizi?
 
Kumbe kubadilishana mate na mgonjwa inaleta maambukizi?
Kiujumla mate hayaambukizi but kitaalamu tunasema mate tukimaanisha unaweza kuwa na kidonda mdomoni na mwenzio naye akawa nacho so mkikiss mtaambukizana, japo pia ni asilimia...
 
Kiujumla mate hayaambukizi but kitaalamu tunasema mate tukimaanisha unaweza kuwa na kidonda mdomoni na mwenzio naye akawa nacho so mkikiss mtaambukizana, japo pia ni asilimia...
Vipi kuhusu jasho?
Kuna mwanamke namfahamu, mama ake alikua mgonjwa akawa ameenda kumuuguza mpaka alipofariki
Alivyorudi kwa mumewe alipewa talaka sababu alikutwa na yeye ni mgonjwa
Lakini alisema akuwahi kumsaliti mume wake.
 
Jasho hapana, yumkini hakutumia groves wakati anamfanyia huduma, tatizo waafrika sisi n wajinga sana, mtu anahisi akitumia groves itaonesha kuwa hampendi mama/ndugu yake.​
Vipi kuhusu jasho?
Kuna mwanamke namfahamu, mama ake alikua mgonjwa akawa ameenda kumuuguza mpaka alipofariki
Alivyorudi kwa mumewe alipewa talaka sababu alikutwa na yeye ni mgonjwa
Lakini alisema akuwahi kumsaliti mume wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…