Mkuu,
Huu ugonjwa ni very technical, unaweza kumpata aliyejaribu kwa mara ya kwanza leo, unaweza kumpata aliyetulizana na kumuacha mzoefu wa kuchakata bila pira. Tuzidi kuwa makini tu ila hakuna "constant" kabisa.
Halafu, wengine ni wanogesha kijiwe tu wapo sio wachakataji kivile.
ushauri mzuri kabisa mie nilikataa arv toka mwanzo. 17 nadunda ni mwendo wa mazoezi na kuzingatia lishe lakini pia ukiwa una gegeda usikamie show. wee piga 2min x 2 inatosha.Kuna huyu jamaa anaitwa mzabzab anakwambia hajameza ARV kwa miaka 17 na anadunda tu.
Nimempongeza sana, japo sijui kama aliacha kumeza hayo madonge kwa kujua ubaya wake au kutokana na hofu tu, lakini alichukua uamuzi uliookoa maisha yake.
Huyo aliyeacha ARV na kuugua TB na Fungus ni kwa sababu ARV zinaangamiza Kinga asili ya mwili na yenyewe inasimama kama ARTIFICIAL IMMUNITY. Ukiacha kutumia ARV lazima ufe.
ARV ni sumu kama madawa ya kulevya. Ukianza kumeza hutakiwi kuacha la sivyo unakufa.
Kinachokuua si UKIMWI, bali sumu za ARV.
nimwambie wa nini sasa? kama mie ninavyolipia uzinzi kwa kuwa na hiv wacha na yeye alipie uzinzi na tamaa zake kwa kupata hiv.before ujafanya mapenzi na mwenza wako huwa unamwambiaga kuwa una Ukimwi?
Sio vizuri ujuenimwambie wa nini sasa? kama mie ninavyolipia uzinzi kwa kuwa na hiv wacha na yeye alipie uzinzi na tamaa zake kwa kupata hiv.
DuhKupata joto sana, haswa nyakati za usiku
Kichwa kuuma kidogo kidogo japo mara kwa mara
Kukohoa kikohozi kikavu pia kinazidi nyakati za usiku
Homa za mara kwa mara
Kupungua uzito
Kuna mda nywere zinakuwa kama umewekea dawa zile za wanawake (ukizishika tu unahisi, huhitaji kuambiwa)....
Aisee nimesikitika. Pole sana 😢Mimi ukimwi ni nimepima sina ila sitosahau
Jinsi nilivyoshudia ukimwi ukitekeleza mauji ya mtu nilimpenda sana MAMA ANGU MZAZI TENA DAKTARI ALIKUWA
Mama angu alikuwa yupo hapo wilaya inaitwa mafinga huwa kuna ukimwi sana tulihamia mwaka 1996 kutoka dar es salaam kwa miaka mingi nilishuhudia vifo vya majirani walivyokuwa na ukimwi sababu mama alikuwa daktar wengi walikuwa wakija nyumbani kutibiwa na kupewa ushauri miaka ile ya 90s hadi 2000s mwanzoni
2010 na kumi nikahama jumla mafinga na kuja dar kutafuta maisha baada ya kumaliz masomo yangu ya degree .....2013 tukamzika babangu mzazi ambae alichana na mama mama angu mwaka 96 sasa baada kutoka msibani nikamuuliza mama huyu baba kafa kwa HIV vipi ww utakuwa mzima akanijibu mimi ni mzima mwanangu
2016 nilikuwa na safari kwenda china kwa ajlii ya business zangu nikarudi mafinga kwenda kumuaga sasa alinituma kitu nikachukue chumbani kwake naingia nakuta ARV kitandani moyo wangu ulisononeka sana nakumbuka nililia sana ila mama angu akasema usilie ni jambo la kawaida nakumbuka akiniangalia kwa macho ya aibu huku pia akijikaza sababu alinipenda sana koz mimi wa mwisho kwetu
2020 kipindi ch korona mama angu mzazi anapapalaizi baada ya kupigwa stroke for two years anakuwa kitandani
2022 mama angu anaingia deadliest stage ya Ukimwi AIDS..Hapa sasa ndo nilijua ukimwi mbaya alitokwa na vidonda mgongo mzima sababu alikuwa kapalalaize hivyo bed sores zilimuandama sana.....wewe anakonda ....mno kumbuka mimi hapo miaka hiiyo mitatu natumia hela zngu binafsi nilitumia zaidi millioni 30 hadi niliyumba kidogo kiuchumi sababu ya kuuguza mgonjwa safari za magari dawa kwenda rufaa mara week nyumbani mwezi hospital ...mara hali hadi mipira mara awe kichaa mara awe mzima nyie ukimwi balaa stage ya mwisho ile
2022 machi hali inakuwa mbaya mgonjwa ni amepalalaize mwili umebaki kichwa tu....vidonda kila kona ndugu zake wananyanyapa yaani ilibidi nimkodi nesi wa kike anisaidie kazi kusafisha vidonda kila siku 20000tsh....... then mach 2022 mama akafariki .....taarifa ya kufAriki kwakwe ilinikutia bar nikiwa na marafika zangu nilikaa kimya
Nilirudi nyumbani nikasema pole na mama angu nilikupenda sana bora umekufa kuliko ulivyokuwa unateseka maana mgongo ulikuwa kama nyama buchani hakuna ngozi......
Nikasema nitakukumbuka daima na kukupenda daima then nikalala zangu nikatafuta dereva wa kuniendesha hadi mafinga iringa nikampa laki mbili nikajaza mafuta tukaondoka .....njiani nae dereva nusu aniue pale kitonga anasisinzia nikamwambia unajua mimi naenda msibani afu unaleta usengeee ...nikachukua chuma mwenyewe nikaendesha hadi mafinga
2022 machi 25 tukamzika mama angu mzazi msibani nilikuwa nauchungu kuwa sito muona tena ila kifo sometimes ni muhimu kwa mateso aliyoyapata kifo ilikuwa bora kuliko kuishi .....maana miguu mgongo ilikuwa ni nyama za buchani tu
Hadi leo hii hakuna siku inapita simkumbi mama angu mzazi
So wagonjwa wa ukimwi mezeni dawa pia hakikisheni vizuri
Pia serikali iweke sheria kwa hospital au madaktar kuwaua kwa maksudi kwa agizo la mgonjwa mwenyewe endapo stage aliye fikia hawezi pona maana inakuwa ni mateso sio kuumwa ....hasa kwa wagonjwa wa kansa mara nyingi madaktar hujua kuwa flan haponi wanabaki wanazuga tu na mgonjwa anateseka bure na maumivu makali yasio na mwisho.....
Anayebagua wengine kisa wanaumwa huyo sio binadamu ni mnyamaTuelimishane, tusaidiane, tusipotoshane wala kubaguana hili ndo jambo la muhimu. Akhsante🙏
Hakika💯💯💯Anayebagua wengine kisa wanaumwa huyo sio binadamu ni mnyama
Ingawa binadamu ni mnyama piah.Anayebagua wengine kisa wanaumwa huyo sio binadamu ni mnyama
Sisi ni special, tunatakiwa kuishi kwa upendoIngawa binadamu ni mnyama piah.
Kwenye special kuna mtumba pia, usisahau hilo. Mtumba hauwezi elewa hii comment yako.Sisi ni special, tunatakiwa kuishi kwa upendo
tofauti na simba na wanyama wengine
Hapana nothing is 100% protectiveCondom ni ulinzi 100% kuzuia wadudu kati ya wawili wanaokutana kimwili?
Sasa kwanini tutumie, bora mseme tusifanye kabisa au watafute njia yenye uhakika 100%Hapana nothing is 100% protective
Sasa kwanini tutumie, bora mseme tusifanye kabisa au watafute njia yenye uhakika 100%
Kumbe kubadilishana mate na mgonjwa inaleta maambukizi?Hiyo njia ya 100% haipo na haitakuwepo, condom ina asilimia 90-95% za kukulinda hizo tano zinabaki kwenye mate au misuguano mingine during sex
Kiujumla mate hayaambukizi but kitaalamu tunasema mate tukimaanisha unaweza kuwa na kidonda mdomoni na mwenzio naye akawa nacho so mkikiss mtaambukizana, japo pia ni asilimia...Kumbe kubadilishana mate na mgonjwa inaleta maambukizi?
Vipi kuhusu jasho?Kiujumla mate hayaambukizi but kitaalamu tunasema mate tukimaanisha unaweza kuwa na kidonda mdomoni na mwenzio naye akawa nacho so mkikiss mtaambukizana, japo pia ni asilimia...
Vipi kuhusu jasho?
Kuna mwanamke namfahamu, mama ake alikua mgonjwa akawa ameenda kumuuguza mpaka alipofariki
Alivyorudi kwa mumewe alipewa talaka sababu alikutwa na yeye ni mgonjwa
Lakini alisema akuwahi kumsaliti mume wake.