Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
- Thread starter
- #101
Just Do It.✔🤧
Naogopa kupima jamani....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just Do It.✔🤧
Naogopa kupima jamani....
Anameza kwa siri saanaMkuu,
Kuna mtu kwa takriban robo Karne sijawai mwona anameza dawa Ila anadunda
Some people were very strong
Wewe umeshindwa kulala Kwa sababu zako huko unasingizia Uzi.Uzi wowote unaofunguliwa tunafungua ili kujifunza, hata kama mtu haumuhusu
Mimi umenifufua akili nizidi kujilinda na kumuomba Mungu pia
Hapa hata usingizi umeniyeyuka
Havinogi kabisaaaMkuu wewe tumia tu hata kama hawakwambii🥺
Huu ni msemo uliopitwa na wakati, ilikuwa zamani lkn siyo Sasa hiviukimwi upo na unauwa
Mie mwenyewe miaka 17 nadunda bila arv. Nilizikataaga mapema sana ni mwendo wa mazoezi na loshe bora tuuMkuu,
Kuna mtu kwa takriban robo Karne sijawai mwona anameza dawa Ila anadunda
Some people were very strong
Aisee wala usipime wee tulia hivyo hivyo🤧
Naogopa kupima jamani....
Eeh hatari....hizi mbususu sio kabisa.Nilipima baada ya kumtilia shaka manzi Angu kuwa huenda anajiuza kwa watu wa mgod
nimecrop moja ya scene yake akiliwa mate kwenye Everything Everything, nakwea mnazo nayo kila sikukama Amandla Stenberg
Naogopa sana ngoma, acha niendelee kujilinda tatizo mtu mwingine anakua mwaminifu lakini mwenzake anamletea ndaniWewe umeshindwa kulala Kwa sababu zako huko unasingizia Uzi.
Kesho wahi kapime haraka
Mkuu sisi hatuna wasiwasi kabisa vibunda vipo salama na afya zipo vyedi😁Wakwea Mnazi kwa Mkono mmoja nao wanaweza kuchangia experience zao jinsi walivyoepukana na huyu MGENI?
Nakala:
dronedrake
Intelligent businessman
Nakubali mwamba💪nimecrop moja ya scene yake akiliwa mate kwenye Everything Everything, nakwea mnazo nayo kila siku
demu mkali sana huyu
Huyu mgeni namsikia kwenye bomba, kwa nguvu zake Mungu nitaendelea kumsikia kwenye bomba mileleWakwea Mnazi kwa Mkono mmoja nao wanaweza kuchangia experience zao jinsi walivyoepukana na huyu MGENI?
Nakala:
dronedrake
Intelligent businessman
Unacheka nini dogo😇Kwahiyo ikitokea umeupata utawapiga miti bila kinga?
Sijalala vizuri leo! Nataka nijiunge chama chenu ili kuepuka hii kituUnacheka nini dogo😇
😁Sasa kama humu wanyetukaji ni wengi huo ukimwi tutaulia kwenye ugali?Jf wote wazima
nyetoni siyo kupenda, shinda ni kumeza zile LA75hah wanawake wote hujaona