Hiki chama nimejiunga mwaka jana mwezi wa kumi na 11 nikipata tatizo wakulaumiwa ni mwenyekiti dronedrakeSijalala vizuri leo! Nataka nijiunge chama chenu ili kuepuka hii kitu
Fikiria nimesikia jina tu sijalala ningeupata je
Twala kwa macho😁Sasa kama humu wanyetukaji ni wengi huo ukimwi tutaulia kwenye ugali?
Kwa hiyo bora tukomae na watoto wameshalala wa mtandao x mwenyekiti.View attachment 2990509
demu alivaa shumizi kama hiyo, jamaa anakula mate huku anapapasa maungo yaliyo wazi,
alimfaidi kinoma
Haha wewe Pro,kwa picha hizi utafanya nirudie mchezo pendwa wakati nimeacha muda mrefu sana,Nashukuru siku ya pili leo sijafanya..View attachment 2990509
demu alivaa shumizi kama hiyo, jamaa anakula mate huku anapapasa maungo yaliyo wazi,
alimfaidi kinoma
🤣 🤣 🤣 🤣 eti mtandao xKwa hiyo bora tukomae na watoto wameshalala wa mtandao x mwenyekiti.
Haha wewe Pro,kwa picha hizi utafanya nirudie mchezo pendwa wakati nimeacha muda mrefu sana,Nashukuru siku ya pili leo sijafanya..
Unaongea kwa majonzi mno , tatzo hilo gonjwa limeota pahala penye utamu.Sijui kwanini unacheka navyoongea na kaka angu witch hunter
Mkuu haujaacha , wewe umepumzika tu ile kitu huwa haiachwi, unapumzika tu.Haha wewe Pro,kwa picha hizi utafanya nirudie mchezo pendwa wakati nimeacha muda mrefu sana,Nashukuru siku ya pili leo sijafanya..
Nishawahi kumuona mtu aliyelazwa kitandani na huo ugonjwa, ndio maana naelewa anavyojisikiaUnaongea kwa majonzi mno , tatzo hilo gonjwa limeota pahala penye utamu.
Vijana wanapataka wazee wanapatakaUnaongea kwa majonzi mno , tatzo hilo gonjwa limeota pahala penye utamu.
Muhimu tayari mke unaye, upweke unapungua pakubwaa!Hakika mwisho wa siku lazima maisha yaendelee
Na wazee ndio wana pesa na mdudu bila kujiunga na chama cha drone the master kusalimika ni ngumu mno.Vijana wanapataka wazee wanapataka
Nilimwambia asile, ye akala akavimba akajaa...Tangu nimeanza kwichi kwichi,sijawahi kufanya bila Mpira,.naogopa Mimba kuliko hiyo Ngoma,
Kuna Mrembo nimekutana nae Zanzibar Mwezi Jana,Kaniambia Ana Maambukizi,kumgusa naogopa,,Kumuacha naona nitadhulumu nafsi,Mtoto yupo kama Amandla Stenberg
Ila akitumia dawa kwa ufasaha na kula vizuri utakufa umwache.Nishawahi kumuona mtu aliyelazwa kitandani na huo ugonjwa, ndio maana naelewa anavyojisikia
Tumfariji tu mwenzetu
Akhsante mdogo Angu🙏🙏Ukimwi ni kama pesa, kila mtu anasema hana. Hongera mkuu kwa kuwa muwazi
Wala hakuna cha shetani apo ni upwiru tu unatusumbua.Maisha ni fumbo sana
Shetani anajua kutesa watu