Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 593
- 2,219
Kweli wewe bichwa tupu.....HIV Virus ni fragile virus .....hivyo ni ngumu kupata n akikupata ni ngumu kutoka naamini una fahama maana ya neno PHNilikuwa Geita.
So hiv virus ili kumpata mtu vifuatavyo vinaitajika
1 . Right Ph
2.right temperature
3.right amount of hiv virus
So haya yote lazima yawe sahihi ndo kinaweza kwenda kwa mtu mwingine ndo maana flagile virus yaani ni rahis kufa kikowa nje ya mazingira yake sahihi
Tofauti ni virus kama vya covid ....au virus vya red eyes mfano tu..
Wataalam virology wanajua sana pia experties wa HIV ila wajinga kama wewe huwa mnapotosha jamiii