eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Damn! Una ujasiri, hongera.
Ikiwa shujaa wa kuchakata mbusisi, pia usiwe muoga na ngoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damn! Una ujasiri, hongera.
Pole sana mkuu, binafsi sina na sijapima tangu mwaka 2022 kama sijakosea.
Tuchukue tahadhari kupima na kujikinga UKIMWI upo.
Wewe ni shujaa wa kuzichakata? Maana mimi sio..Ikiwa shujaa wa kuchakata mbusisi, pia usiwe muoga na ngoma.
Wanawake wengi wanapenda kavu kavuP
Punguza ngono zembe, sijui kwanini wanawake wengi hamsistz matumizi ya condom, mnamuachia mwanaume ndo aamue. 🤐
Mi nimeenda hospital nilibanwa na kikohozi Dokta akasema anipime nikakubali kilichotokea magonjwa rundo typhoid, UTI, sukari, pressure nikamwambia Dokta nitibie kikohozi kilichonoleta hayo mengine siku nyingine.Kwa ugumu nilionao wakimaisha binafsi sifikirii kuendelea kupima pima afya yangu , naamini nitaishi mara mo na nitakufa mara 1 ,so ni vyema niishi bila kuhangaishana na dawa za hapa na pale.
😄😄 Umenichekesha SanaPole sana ndugu, humu jf mwenye UKIMWI ni wewe tu. sisi members wengine tumetoka kupima hivi karibuni kila mmoja yuko -ve.
Wanashangaza sana, utadhani wao wao mbinguni ambako hakuna ukimwi.Wanawake wengi wanapenda kavu kavu
Unawezakuta 3/10. Ukimwambia mtu akimwi upo anasema ni kama malaria ila akiupata ndo anajua hii sio malariaHivi kwa mfano saizi uvichukue vile videmu vipisi kali vinavyopiga picha za kujibinua kwa nyuma kama kumi hivi ukavipime mdudu angaza unazani wangapi watakuwa salama?
💯💯💯. Hapo umenena.Kama unajijua hujatulia basi tumia Kinga au mwambie mwenzieo atumie Kinga. Wengi wanapeana Ukimwi sababu ya kuendekeza ngono zembe na unafiki wa kutoambiana ukweli kwenye mahusiano.
Wewe ni shujaa wa kuzichakata? Maana mimi sio..
Mkuu,Mimi siyo bingwa wa hiyo michezo ya kujimaliza.
Kuna watu hapa JF wana utalaam wa kuchakata mbusisi kimasihara. Huwa nawaangalia, huku nashangaa. Hivi wanajua kweli uhusiano uliopo kati ya kuchakata na kuanza kuwa mwanachama wa kudumu wa arv?
😛
Hahahaha! 🙏Watu wenye ukimwi wanaishi kwa amani sana kushinda ambao hawana
Sema wew jamaaa ulikuwa ynaringa sana pale mgodini kutuchapia mademu zetu bora ulivyo waka
Hii issue haijapigiwa campaign vizuri, watu ni kuchekacheka tu, wanaona rahaaa, tunateketea kama taifa.Wanawake wengi wazimu ukiwapanda hawakumbuki na Kinga tena anashika rungu anatumbukiza mwenyewe aiseee ni hatari sana
Wee jamaa ninakupongeza sana kwa hii mada.Hii issue haijapigiwa campaign vizuri, watu ni kuchekacheka tu, wanaona rahaaa, tunateketea kama taifa.
Tuelimishane, tusaidiane, tusipotoshane wala kubaguana hili ndo jambo la muhimu. Akhsante🙏Wee jamaa ninakupongeza sana kwa hii mada.
Imeelimisha wengi na kuwaamsha pia.
Wanaokushambulia binafsi wapuuze kwani ni ile kada ya watu wasioweza kutofautisha kati ya MADA na MLETA MADA.
Sipo kundi hilo mkuu, nna muda sana sijachakata ndio maana hata kupima sijapima muda.Mkubwa hivyo, unaogopa ukimwi.
😛
Si ndo nyie mnajisifu kuhusu kuchakata mbusisi.