Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Usi
Pole Sanaa brother Mungu aendelee kunilinda ila hii kitu inaniliza sanaa familia yangu inateketea sanaa nimesoma machoz yamenitoka umeandika kirahis ila najua moyon ukoje nauguza ndugu zangu na mie siijui kesho yangu dah 😢😢
Usiogope rafiki anaejua kesho yako na hatma ya masha yako ni Mungu, so dont be afraid with HIV, in evrything you do consult God, Mungu ndio kila kitu, unaweza ukawa na HIV ukaishi vzr kwa Neema ya Mungu na mwisho wa siku Mungu akukondolea hilo li'HIV. Usiohope HIV muamini ndiye aliyebeba maisha yako na kuhusu ndugu zako wasaidie na hakuna chochote kinachoendelea kati yao na wewe, watumie dawa zao tu vizr.
 
Juzi tu hapa nimeenda hospital kupima, Wakati nasubiria majibu nikasema acha nitembee tembee kidogo heee! Nkajikuta nipo nyumbani!. Kupima si mchezo
Kupokea majibu ni hatari sana kwa kweli, ukipata majibu positive hapo ndio mwili unaanza kushake na kuporomoka lakini kabla ya majibu unaweza ukawa vzr, ndio utaelewa kuwa kinachowaua watu ni hofu baada ya kujiona wanamaambukizi akili ikaruka ghafla
 
Ukimwi unaweza ukaupata na usiumwe kwa muda hata miaka kumi, ukishajua tuu ile hofu ndio itakusababishia immunity kushuka lakini ukijikubali na kula vzr na dawa unakaa vzr kwa kweli
Ulikua je unaumwa au hukuhisi chochote
 
Huu uzi sijawahi kuuona daah

Hongera mkuu kwa ujasiri lakini pia binafsi nimeona watu wenye virusi vya ukimwi ambao wameishi muda mrefu tu. Na kuna wengine waliofariki kipindi ambacho elimu na huduma za afya hazikuwa kama sasa. Kwa hiyo naelewa virusi vyaweza kuonekana kama ugonjwa mkubwa sana lakini ni ugonjwa wa kawaida haswa kutokana na miundombinu ya afya kwa sasa.

Pia nina young brother ambaye nilikutana nae humu mwenye situation kama yako lakini yupo powerful na ananipa inspiration ya maisha sanaa.

Natumai ipo hivyo kwa upande wako pia. Mungu azidi kukuimarisha kaka
Kabisa ni ugonjwa wa kawaida kabisa kama ugonjwa mwingine, kuna watu wanakunywa dawa za sukari au pressure kila siku huwezi kufananisha na wanaokunywa ARV, yaani HIV wala haina usimbufu kabisa ila mapokeo tu ya watu kwamba ni ugonjwa hatari sana. Ila ikishaanza kuja ile dawa ya miezi sita yaani unachomwa sindano moja unakaa miezi sita itasaidia sana kama ilivyo South Africa, wenzetu kule wana dawa za muda mrefu ambapo wanachoma sindano wanakaa miezi sita wanachoma tena, na huku itafika na itawasaidia wengi hasa wale wanaosahau kumeza dawa.
 
Kabisa ni ugonjwa wa kawaida kabisa kama ugonjwa mwingine, kuna watu wanakunywa dawa za sukari au pressure kila siku huwezi kufananisha na wanaokunywa ARV, yaani HIV wala haina usimbufu kabisa ila mapokeo tu ya watu kwamba ni ugonjwa hatari sana. Ila ikishaanza kuja ile dawa ya miezi sita yaani unachomwa sindano moja unakaa miezi sita itasaidia sana kama ilivyo South Africa, wenzetu kule wana dawa za muda mrefu ambapo wanachoma sindano wanakaa miezi sita wanachoma tena, na huku itafika na itawasaidia wengi hasa wale wanaosahau kumeza dawa
Hata ikija mkuu 😃😃
Pipo ni wagese watasahau tu kwenda kuchwa sindano😃😃😃
 
Ukimwi unaweza ukaupata na usiumwe kwa muda hata miaka kumi, ukishajua tuu ile hofu ndio itakusababishia immunity kushuka lakini ukijikubali na kula vzr na dawa unakaa vzr kwa kweli
Hofu inaua kuliko ugonjwa mwenyewe. 👍
 
Ni Uzi wenye ujumbe kwa jamii, sote tujilinde. Asante🙏
Hivi unawezaje tambua una virusi kama hujapima. Saying so. Kuacha zile sababu zipo hata google. The truth, huwa unaweza juaje.
Maana vijana wanajiachia tu, leo kapata demu karuka nae kesho hivo hivo. Hivi huwaga vpi?
Tumefikia mbali wengine huangalia sana mwanamke aliyezaa nae. A year or two. Hakukua na ukimwi hivo yuko sawa.
The bad part wengine wanaangalia kapima homa au malaria hajakutwa na ukimwi.
Hivi ukimwi ni kipimo tofauti?
Naomba Muongozo.
 
Hivi unawezaje tambua una virusi kama hujapima. Saying so. Kuacha zile sababu zipo hata google. The truth, huwa unaweza juaje.
Maana vijana wanajiachia tu, leo kapata demu karuka nae kesho hivo hivo. Hivi huwaga vpi?
Tumefikia mbali wengine huangalia sana mwanamke aliyezaa nae. A year or two. Hakukua na ukimwi hivo yuko sawa.
The bad part wengine wanaangalia kapima homa au malaria hajakutwa na ukimwi.
Hivi ukimwi ni kipimo tofauti?
Naomba Muongozo.
Mienendo. Mwenendo wako ndo utakupa hofu na hamasa ya kupima. Pia Reaction ya mwili kwa magonjwa inatofautiana, unaweza pata leo ukakaa mwezi tu ukahisi utofauti, ingawa wengine wanakaa hata 5 years or more bila kuhisi chochote mpaka siku wakipima.
 
Wa
Hivi unawezaje tambua una virusi kama hujapima. Saying so. Kuacha zile sababu zipo hata google. The truth, huwa unaweza juaje.
Maana vijana wanajiachia tu, leo kapata demu karuka nae kesho hivo hivo. Hivi huwaga vpi?
Tumefikia mbali wengine huangalia sana mwanamke aliyezaa nae.
Pia Wanaume wengi ni waoga kupima, na waliooa hupima kupitia wake zao.
 
HIV/ AIDS
Human immunodeficiency virus (HIV) is an infection that attacks the body’s immune system. Acquired immunodeficiency syndrome (AIDS) is the most advanced stage of the disease.

HIV targets the body’s white blood cells, weakening the immune system. This makes it easier to get sick with diseases like tuberculosis, infections and some cancers.

HIV is spread from the body fluids of an infected person, including blood, breast milk, semen and vaginal fluids. It is not spread by kisses, hugs or sharing food. It can also spread from a mother to her baby.

HIV can be treated and prevented with antiretroviral therapy (ART). Untreated HIV can progress to AIDS, often after many years.
 
Kupata joto sana, haswa nyakati za usiku
Kichwa kuuma kidogo kidogo japo mara kwa mara
Kukohoa kikohozi kikavu pia kinazidi nyakati za usiku
Homa za mara kwa mara
Kupungua uzito
Kuna mda nywere zinakuwa kama umewekea dawa zile za wanawake (ukizishika tu unahisi, huhitaji kuambiwa)....
Mkuu hii isije kuwa chai nisamehe lakini ,kwasababu hadi ifikie dalili hizo maana yake hiv ipo kwenye late stage yani umepata muda mrefu
 
Back
Top Bottom