NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Nimecheka Kaa fala vile!aiseh!!Tunaupitia huu uzi kimya kimya kama mwendo wakuaga maiti. respect Grid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka Kaa fala vile!aiseh!!Tunaupitia huu uzi kimya kimya kama mwendo wakuaga maiti. respect Grid
Usikate tamaa ndugu, kubaliana na hali, jipe moyo kila kitu kitakuwa sawa tu. Asante sanaPole Sanaa brother Mungu aendelee kunilinda ila hii kitu inaniliza sanaa familia yangu inateketea sanaa nimesoma machoz yamenitoka umeandika kirahis ila najua moyon ukoje nauguza ndugu zangu na mie siijui kesho yangu dah 😢😢
Mbususu tamu na condom uondoa utamuUkimwi upo vijana tujilinde
Maisha sio sex tuMbususu tamu na condom uondoa utamu
Maisha ni nini kama sio sexMaisha sio sex tu
Afya, marafiki, familia n:kMaisha ni nini kama sio sex
Sex ni afya, familia inapatikana thru sex so tunarudi pale pale tuu mwanawaneAfya, marafiki, familia n:k
Sawa, tuwe makini. HIV ipoSex ni afya, familia inapatikana thru sex so tunarudi pale pale tuu mwanawane
Ulikua je unaumwa au hukuhisi chochoteTukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.
Kujilinda ni kutoruhuru kugusana na utelezi wa aina yoyote tofaut na geishaUzi wowote unaofunguliwa tunafungua ili kujifunza, hata kama mtu haumuhusu
Mimi umenifufua akili nizidi kujilinda na kumuomba Mungu pia
Hapa hata usingizi umeniyeyuka
Kuna haka ka ajenda ka mara kwa mara ka kuhamasisha watu waachane na mwamnyeto kwa mbali kanapromoti UKIMWITukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.
Juma1960 Joshua_ok pamoja sanaTukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.