Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Tangu nimeanza kwichi kwichi,sijawahi kufanya bila Mpira,.naogopa Mimba kuliko hiyo Ngoma,

Kuna Mrembo nimekutana nae Zanzibar Mwezi Jana,Kaniambia Ana Maambukizi,kumgusa naogopa,,Kumuacha naona nitadhulumu nafsi,Mtoto yupo kama Amandla Stenberg
Nawaonea huruma sana sana sana mnaoamini mipira bila kujua aliyetengeneza HIV ndio kuleta suluhisho bandia la mipira. Ili kupanga uzazi at the same time. Maana HIV ilikusudia kufanya depopulation ila pia hiv ina dedline yake 🙂 asikiaye na afahamu.
 
Kama virusi vya ukimwi vinasababisha upungufu wa kinga iweje umuambukize asiye na upungufu wa kinga? Kuna ukweli uliojificha juu ya hili janga.Wanaoshi na vvu wengi hawajujui kuliko wale wanaojijua
 
Wakati nipo songea 2008 kuna binti nilimpata tukawa wapenzi alikuwa na miaka 16 na nilikuwa na nia nimuoe kwasababu mtoto alikuwa mzuri na muelewa mno,,,basi ikawa tunasex sana tena bila kondom kwasababu niliwaza mtoto kama yule sio wakumtilia shaka,,,na ikapita miaka miwili tupo kwenye mahusiano ila kila mmoja anaishi kwake na yeye alikuwa anaishi na shangazi yake,,sasa kuna siku nilienda mtaani kwao kuna kitu nilimpelekea sasa tukawa tumesimama jirani na shule fulani hivi tunapiga story,,,kumbe kuna mtu mmoja akatuona pale na siku ya pili akanijia dukani akaniambia ndugu yangu yule binti unajuana nae kiundani? Nikamjibu hapana nipo kwenye mchakato wa kumtongoza jamaa akaniambia yule binti ana ukimwi kazaliwa nao, aisee nilivurugwa mno na nililia sana nikanyanyua simu nikampigia yule binti nikamuuliza kumbe wewe una ukimwi? Aisee dogo akaniambia tu ukweli huku analia kuwa ni kweli ni muathirika ila alikuwa anaogopa kuniambia nisije kumuacha na wakati mimi ndie nilikuwa namuhudumia kila kitu na binti maisha yao yalikuwa magumu mno,,,Sasa washkaji wakaniona kabisa nimevurugwa akili nipo kama mwehu kwasababu nilimpigia mama yangu simu nikamwambia mimi mwanao nina ukimwi kwahiyo sipo mbali nitakufa.ila baada ya miezi miwili nikaenda kupima nikakutwa nipo fresh aisee nilifurahi mno kama chizi na nikampigia yule binti simu nikamwambia nipo fresh binti alifurahi mno,, kwakufupisha story ni kwamba yule binti kafariki 2015 kwa ajali ya gari
Nimekumbuka ule wimbo wa mauzauza ghafla sijui kwann😅😅
 
Mwasilisha mada hauna virusi wala nini ila ni chombeza time kama ile ya radio one, lakini mtangazaji halali pamoja na kutubembeleza.
 
Huu ugonjwa Kwa Sasa mambo yamekuwa tofauti Mother angu alikufa Kwa ukimwi R.I.P mommy enzi hizo huko Dodoma kibaigwa msimu wa biashara ya mahindi
Back in my struggling nilijikuta nimezaa na mwanamke mwenywe ukimwi aiseee nilichanganyikiwa
Nioipima kama mara 10 hiv lakini hamna kitu mtoto alizawa poa Sana na mpaka Leo npo nae yupo darasa la 3
Nlisha achana na mamake na mm npo powa nimeowa na watoto wangu Kwa mwanamke mwingine
Take care yourselves and others
Aisee kweli shetani ni king'ang'anizi alitaka wote mfe ukimwi. Ninawajua watt wa pastor mmoja kkkt kabila mnyaturu singida hawakuzaliwa na hiv ila wawili wa kiume wameupatia pale mtaani wakiwa wakubwa. Ni shd kweli. Hapo ni kukata huo muunganiko.
 
Kama virusi vya ukimwi vinasababisha upungufu wa kinga iweje umuambukize asiye na upungufu wa kinga? Kuna ukweli uliojificha juu ya hili janga.Wanaoshi na vvu wengi hawajujui kuliko wale wanaojijua
Mmmhhhh
 
Mwasilisha mada hauna virusi wala nini ila ni chombeza time kama ile ya radio one, lakini mtangazaji halali pamoja na kutubembeleza.
Ni maoni yako mkuu, anyway jilinde na uwalinde uwapendao, AIDS kills
 
boss kuna watu wana aleji na matumizi ya mipira
Mipira ipo tofauti, tafuta aina gani ya mpira inayokufaa. Hilo suala la "aleji" linajulikana. Na kama unajiona huwezi kabisa kutumia mipira basi kuwa makini.
 
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?

Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.

Twambie wewe mdau ulijisikiaje?

NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.

Akhsante.
Tumieni ARV kwa uaminifu sana mtawasaidia watu wasiambukizwe kirahisi
 
Back
Top Bottom