Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
- Thread starter
- #761
Taratibu mdogo angu, huijui kesho. Wenye HIV sio wajingaNilisikia watu wenye MIWAYA mnakuwaga wakali. Nimeamini sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu mdogo angu, huijui kesho. Wenye HIV sio wajingaNilisikia watu wenye MIWAYA mnakuwaga wakali. Nimeamini sasa
Pia wewe sio mjanja, anyway you are not safe 100%Nilisikia watu wenye MIWAYA mnakuwaga wakali. Nimeamini sasa
😂😂😂 ndo raha ya kuoa hiyo. Japo wahudumu wa afya wana discourage sana hiki kitu.Binafsi nime pima kupitia wife wakati yupo mjamzito .siwezi wala sita wahi kwenda kupima asee
Mkuu sijamaanisha nakusigili, nimeona tu ulivyomkaripia jamaaTaratibu mdogo angu, huijui kesho. Wenye HIV sio wajinga
Mkuu, achana na kupata, vipi ulishawahi walau kuhisi tu kuwa una HIV?Mkuu hii isije kuwa chai nisamehe lakini ,kwasababu hadi ifikie dalili hizo maana yake hiv ipo kwenye late stage yani umepata muda mrefu
Ni maoni tu. Sina ubaya wowote kwako.Mkuu sijamaanisha nakusigili, nimeona tu ulivyomkaripia jamaa
Natambua mkuuNi maoni tu. Sina ubaya wowote kwako.
👍Natambua mkuu
punguza utoto, as long as una nyama na damu kila siku ukiamka salama shukuru mungu, na ugonjwa ni ugonjwa tu binaadamu yoyote yupo kwenye risk ya kupata ,usimdhihaki mtu kwa madhaifu yake hata siku moja juu ya ardhi, hadi siku ukiwa umekufa anything can happen kwa binaadamu at anytimeNilisikia watu wenye MIWAYA mnakuwaga wakali. Nimeamini sasa
Hata yesu alisema "farijianeni kwa maneno hayo" wacha wafarijiane ila kusema kweli HIV ni gonjwa la aibu sana.Madada hawaogopi NGOMA siku hizi eti wanaogopa kisukari,cancer,figo etc
Mwenye uzi kanielewa halafu wewe unakuja kunibwatukia kipumbavu. Wewe utakuwa muathirika mpya na umeupata kwa njia ya kulawitiwapunguza utoto, as long as una nyama na damu kila siku ukiamka salama shukuru mungu, na ugonjwa ni ugonjwa tu binaadamu yoyote yupo kwenye risk ya kupata ,usimdhihaki mtu kwa madhaifu yake hata siku moja juu ya ardhi, hadi siku ukiwa umekufa anything can happen kwa binaadamu at anytime
Umemuona steve jobs na utajiri wake wote alipoanza kuumwa cancer alihangaika hadi akaenda kwa mganga india pamoja na akili zake zote zile na haikumsaidia kitu akafa,ndio uone utukufu wa mungu
Ukimuona mtu yupo kwenye shida yoyote usimcheke au kumsema ,muombee heri atoke kwenye hiyo shida ,ukimuombea yeye umejiombea wewe
👍🙏punguza utoto, as long as una nyama na damu kila siku ukiamka salama shukuru mungu, na ugonjwa ni ugonjwa tu binaadamu yoyote yupo kwenye risk ya kupata ,usimdhihaki mtu kwa madhaifu yake hata siku moja juu ya ardhi, hadi siku ukiwa umekufa anything can happen kwa binaadamu at anytime
Umemuona steve jobs na utajiri wake wote alipoanza kuumwa cancer alihangaika hadi akaenda kwa mganga india pamoja na akili zake zote zile na haikumsaidia kitu akafa,ndio uone utukufu wa mungu
Ukimuona mtu yupo kwenye shida yoyote usimcheke au kumsema ,muombee heri atoke kwenye hiyo shida ,ukimuombea yeye umejiombea wewe
Ila wewe jamaa noma sana. 😂😂😂😂Tunaupitia huu uzi kimya kimya kama mwendo wakuaga maiti. respect Grid
duhMwenye uzi kanielewa halafu wewe unakuja kunibwatukia kipumbavu. Wewe utakuwa muathirika mpya na umeupata kwa njia ya kulawitiwa
Niwe nao nisiwe nao haitakusaidia kitu, sijazoea kutukana watu kama wewe kwakuwa sijalelewa hivyoMwenye uzi kanielewa halafu wewe unakuja kunibwatukia kipumbavu. Wewe utakuwa muathirika mpya na umeupata kwa njia ya kulawitiwa
Kausha sasa. Usishobokee comments za watuNiwe nao nisiwe nao haitakusaidia kitu, sijazoea kutukana watu kama wewe kwakuwa sijalelewa hivyo
Jifunze kujenga hoja sio matusi , unapofungua mdomo kuongea au kuandika kitu it tells alot about urself, it defines uKausha sasa. Usishobokee comments za watu
Mpuuzi kweli. Sikukutag wala kukutafuta. Kipele chako kujia comment yangu ilhali nimemjibu mleta mada. Au ni basha wakoJifunze kujenga hoja sio matusi , unapofungua mdomo kuongea au kuandika kitu it tells alot about urself, it defines u