Wala si shida, ukifuata ratiba yako vizuri unadunda tu. Unakuwa hauna complications ndogondogo kabisa. Kuna watu wanagonga 20 yrs wanao na wako fit tu. Tunaogopaga kujianika kwa sababu unyanyapaa bado ni changamotoAcha kabisaaa, huu ugonjwa shida yake ni kumeza dawa kila siku duh!!!