Kuna Aya katika Quran inanibariki sana ila nimeisahau inazungumzia maneno kama " kama mwanga wa asubuhi..." Inamaneno ya faraja sanaBismillah ladhi la yadhuru maa ismih sheiun fil ardhi wa lafi samai wahuwa samiu laadhim
Maana yake
"Najikinga kwa jina la mwenyezi Mungu halitanidhuru baya lolote katika ardhi wala mbingu, Hakika wewe mwenyezi Mungu ni msikivu na ni mjuzi wa yote"
Dua ya asubuhi na jion.
NGOJA NIWEKE ALARMTuwe pamoja katika sala ya saa tisa usiku leo.
Karibu mpendwaNGOJA NIWEKE ALARM
Tuwe pamoja katika sala ya saa tisa usiku leo.
Mungu aliyemwema akuamshe katika maombi ya leoUbarikiwe sana kwakutuletea Uzi huu Mungu anatukumbusha tumtafute kwa bidii zote wakati wote na katika maombi ya asubuhi ni vyema tukaomba sana kwa ajili ya watu wote wakapate kukombolewa
1 Timotheo 2:1
Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote
Kwa wewe unayeamka kwaajili ya kufanya maombi fanya maombi haya yenye nguvu sana na yenye kujibiwa kwa haraka
Anza kwanza kumshukuru Bwana Yesu kwa ajili ya matendo makuu aliyokufanyia wewe pamoja na familia yako siku iliyopita
malaika huko mbinguni wapo attention kusikia vilio vya watu wengi ungana nao lia pamoja na wanaolia utabarikiwa sana
Omba kwaajili ya watu wote wanaopitia mapito magumu ili wapate kukombolewa
Kuna watu wamelala na njaa ila wewe umekula umeshiba waombee
Kipindi hichi vijana wengi wanapitia hali ya kukosa ajira wanamlilia Mungu ungana nao kuwaombea
Kuna watu ulisoma nao tangu shule ya msingi hata secondary lakini hujui wanapitia mapito gani ungana nao kuwaombea wakombolewe
Mwisho ndio peleka hitaji lako kwa Bwana Yesu akutendee
Ninaomba tujulishane kwa wale walioona katika jicho la rohoni mambo ambayo Mungu anatukumbusha tuombe
Anza utaratibu wa kufanya maombi asubuhi alfajiri utajibiwa haraka sana
Bwana wetu Yesu anasema yeye ndiye mzabibu wa kweli na baba yake ndiye mkulima na sisi ni matawi pasipo yeye sisi hatuwezi kufanya neno lolote. Yohana 15 Kwako wewe Kama ambaye unakutana changamoto za kiuchumi na magonjwa nk anza sasa kumtafuta Bwana Yesu katika mida hii ya kuanzia mida hii...www.jamiiforums.com
Uwe unani_tag piamaombi ya Leo Alfajiri
Kimwakaleli Hope urassa
Angada Heaven Sent madamub
Ushimen Kunguru wa Unguja mshamba_hachekwi Dadakidoti Greg50
Na wanamaombi wengine
uwatakaseSawa Mkuu,Uwatase kwa ile kweli,Neno lako ndio kweli .Yohana 17:17
Amina nitazidi kuboresha mkuuUwe unani_tag pia
Amina mpendwa tuendelee na maombiAyubu 38:12-13
[12] Je! Umeiamuru asubuhi tangu siku zako zilipoanza? Umeyajulisha mapambazuko mahali pake?
[13] Yapate kuishika miisho ya nchi,
Waovu wakung’utwe wakawe mbali nayo?
Job 38:12-13 NKJV
[12]“Have you commanded the morning since your days began, And caused the dawn to know its place,
[13]That it might take hold of the ends of the earth, And the wicked be shaken out of it?
Amka katika maombi kakaAmen, ubarikiwe sana kwa jambo hili
Baba asante kwa uaminifu wako kwenye maisha yangu, asante kwakua unanipenda, asante kwakuwa unaniwazia yaliyo mema,.. Amen
Bismillah ladhi la yadhuru maa ismih sheiun fil ardhi wa lafi samai wahuwa samiu laadhim