Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Tusali.
Ee Mungu mwingi wa rehema, tunalitukuza jina lako kwa wema wako mkuu usioisha katika maisha yetu ya kila siku. Leo tunakuomba tupe kujua yatupasayo kutenda kwa wakati kama vile Yesu alivyosema kuwa "Laiti ungelijua yakupasayo kutenda ee Yerusalemu". Tunaomba Roho wa hekima aambatane nasi siku zote tupate kuisikia sauti yako katika mifumo ya familia, serikali, biashara, na maeneo yote uliyotuweka wewe mwenyewe.

Tukumbushe kuwa saa yoyote tunaweza toka katika nafasi tulizowekwa ikiwa tutakuwa na jeuri, majigambo, kujiinua na viburi vya kipepo. Tusiwe kama malkia Vashty alielewaga na madaraka na entittlement kiasi cha kwamba akajiona wa muhimu sana kuacha kutii sauti yako kupitia mume wake na mfalme wa Shushani ngomeni. Kiburi hutangulia anguko, na Vashty akang'olewa katika kiti chake na mfumo wa kimbingu, akapatikana mwingine wa kumreplace.

Tusaidie hasa sisi kina mama tupate kulitambua hili siku zote za maisha yetu ili tuwe wanyenyekevu chini yako ee Bwana kupitia waume zetu, watoto wetu, na kila mahali unapotuweka wewe. Nafasi yoyote utupayo, tupe kujua ni transitional na saa yoyote tunaweza kuondolewa na wewe ikiwa tutajiona keki. Basi tunaomba haya katika Jina la Yesu Kristo, we place our low egoz before you, exalt us in your due time. Amen. Thank you Jesus. We love you🙏🙏🙏
 
Tusali.
Ee Mungu mwingi wa rehema, tunalitukuza jina lako kwa wema wako mkuu usioisha katika maisha yetu ya kila siku. Leo tunakuomba tupe kujua yatupasayo kutenda kwa wakati kama vile Yesu alivyosema kuwa "Laiti ungelijua yakupasayo kutenda ee Yerusalemu". Tunaomba Roho wa hekima aambatane nasi siku zote tupate kuisikia sauti yako katika mifumo ya familia, serikali, biashara, na maeneo yote uliyotuweka wewe mwenyewe.

Tukumbushe kuwa saa yoyote tunaweza toka katika nafasi tulizowekwa ikiwa tutakuwa na jeuri, majigambo, kujiinua na viburi vya kipepo. Tusiwe kama malkia Vashty alielewaga na madaraka na entittlement kiasi cha kwamba akajiona wa muhimu sana kuacha kutii sauti yako kupitia mume wake na mfalme wa Shushani ngomeni. Kiburi hutangulia anguko, na Vashty akang'olewa katika kiti chake na mfumo wa kimbingu, akapatikana mwingine wa kumreplace.

Tusaidie hasa sisi kina mama tupate kulitambua hili siku zote za maisha yetu ili tuwe wanyenyekevu chini yako ee Bwana kupitia waume zetu, watoto wetu, na kila mahali unapotuweka wewe. Nafasi yoyote utupayo, tupe kujua ni transitional na saa yoyote tunaweza kuondolewa na wewe ikiwa tutajiona keki. Basi tunaomba haya katika Jina la Yesu Kristo, we place our low egoz before you, exalt us in your due time. Amen. Thank you Jesus. We love you🙏🙏🙏
AMEN
 
Habari zenu Wapendwa tusisahau kukemea juu ya ndoto mbaya endapo utaota usiku ndoto hizi ni ishara mbaya amka kukemea zishindwe kwa damu ya Yesu

1. Ndoto ya kuonekana upo maeneo shule msingi au secondary wakati wewe ulishamaliza Hadi chuo

Hii ni ishara shetani anataka malengo yako yachelewe kuyafanikisha au ushindwe kabisa kwa maana umeshawahi kujiuliza kwanini unafanya kazi lakini haufanikiwi basi ni sababu ya ndoto hii

2.Ndoto za risasi au mabomu
Ni ishara shetani anataka kukupa kesi ufungwe ama anataka kukutengenezea ajali

3.Ndoto ya kuota unakula au unakunywa
Hii ni ishara kuwa maadui wanataka kukupandikizia magonjwa mtu yoyote anayeumwa aliota ndoto hii kabla ugonjwa haujampata

Ukiota ndoto kama hizi amka kuomba kemea kwa damu ya Yesu ukiota ndoto yoyote mbaya amka kukemea usipuuze adui huwa anakuwa anajiaandaa kukuangamiza Yale yanayokuja kutokea kwenye mwili yanakuwa ni matokeo tu shetani huwa aanzi kuangamiza mwili bali Roho yako kwanza ndio mwili unakuja kupata matokeo

Soma kushika isaya 54:17 na zaburi 91:1-6 ili kukupa ulinzi

Kama Kuna ndoto umeota na bado hauielewi amka kuomba muombe Roho Mtakatifu akusemeshe juu ya ndoto hiyo inamana gani utapata majibu
 

View attachment 3121418

Ndugu watanzania kupitia Uzi huu nitakuwa Kila siku Alfajiri ninatuma mstari maalumu wa maombi Kwa wale waombaji wa asubuhi. Ufunguapo Uzi huu kuanzia saa nane kamili usiku utakutana na maneno yatakayokuongoza na kuchochea nguvu ya maombi.

MSTARI WA KUSIMAMIA
Zaburi 90:14 " Utushibishe Asubuhi kwa fadhila zako. Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote"
LUGHA;

Tunaomba Uzi huu uchangiwe Kwa Lugha nzuri yenye staha ili kuwasaidia wapenzi wa maombi ya Asubuhi kupata sehemu ya kutumiana jumbe na kuombeana. Haitakuwa busara kama hauamini katika maombi ukatukana au kukashifu jambo linaloweza kusababisha Uzi kufungwa.

Mbarikiwe na karibuni kwenye Uzi huu maalumu kwaajili ya maombi ya Asubuhi.


Asubuhi ya Leo 10/10/2024 post #13 au bofya hapo chini kupata mstari wa leo
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Leo 11/10/2024 post #49
Bofya kiungo hapo chini kwaajili ya maombi ya leo.
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

New. 11/10/2024
Kwa watakao penda kupokea ujumbe wa maombi mstari wa KUSIMAMIA Kwa njia ya Text za kawaida ama watsup. Ni vyema tutawasiliana PM Kwa mujibu wa sera ya faragha ya Jf. Pia kuanzia Jumatatu ijayo yaani 14/10/2024 tutakuwa na watsup group mahsusi Kwa maombi. Kwa wenye uhitaji tuwasiliane PM.
Mbarikiwe
0768137881 what's up maombi, niunge huku mkuu
 

View attachment 3121418

Ndugu watanzania kupitia Uzi huu nitakuwa Kila siku Alfajiri ninatuma mstari maalumu wa maombi Kwa wale waombaji wa asubuhi. Ufunguapo Uzi huu kuanzia saa nane kamili usiku utakutana na maneno yatakayokuongoza na kuchochea nguvu ya maombi.

MSTARI WA KUSIMAMIA
Zaburi 90:14 " Utushibishe Asubuhi kwa fadhila zako. Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote"
LUGHA;

Tunaomba Uzi huu uchangiwe Kwa Lugha nzuri yenye staha ili kuwasaidia wapenzi wa maombi ya Asubuhi kupata sehemu ya kutumiana jumbe na kuombeana. Haitakuwa busara kama hauamini katika maombi ukatukana au kukashifu jambo linaloweza kusababisha Uzi kufungwa.

Mbarikiwe na karibuni kwenye Uzi huu maalumu kwaajili ya maombi ya Asubuhi.


Asubuhi ya Leo 10/10/2024 post #13 au bofya hapo chini kupata mstari wa leo
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Leo 11/10/2024 post #49
Bofya kiungo hapo chini kwaajili ya maombi ya leo.
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

New. 11/10/2024
Kwa watakao penda kupokea ujumbe wa maombi mstari wa KUSIMAMIA Kwa njia ya Text za kawaida ama watsup. Ni vyema tutawasiliana PM Kwa mujibu wa sera ya faragha ya Jf. Pia kuanzia Jumatatu ijayo yaani 14/10/2024 tutakuwa na watsup group mahsusi Kwa maombi. Kwa wenye uhitaji tuwasiliane PM.
Mbarikiwe
🙋‍♂️✍️🙏
 
Bwana Yesu wapendwa

Namshukuru Mungu kwa kunipa uzima na pia kunipa kibali ili niweze kuzitangaza habari zake njema na shuhuda katika jukwaa hili

Leo hii Nimewaletea wimbo mzuri aa kusifu na wakuabudu kutoka Patrick kubuya Moyo wangu ni jambo zuri unakuwa unamkaribisha Roho Mtakatifu kwa kusikiliza wimbo wa kusifu na kuabudu kabla haujaanza kufanya maombi yako
 

Attachments


View attachment 3121418

Ndugu watanzania kupitia Uzi huu nitakuwa Kila siku Alfajiri ninatuma mstari maalumu wa maombi Kwa wale waombaji wa asubuhi. Ufunguapo Uzi huu kuanzia saa nane kamili usiku utakutana na maneno yatakayokuongoza na kuchochea nguvu ya maombi.

MSTARI WA KUSIMAMIA
Zaburi 90:14 " Utushibishe Asubuhi kwa fadhila zako. Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote"
LUGHA;

Tunaomba Uzi huu uchangiwe Kwa Lugha nzuri yenye staha ili kuwasaidia wapenzi wa maombi ya Asubuhi kupata sehemu ya kutumiana jumbe na kuombeana. Haitakuwa busara kama hauamini katika maombi ukatukana au kukashifu jambo linaloweza kusababisha Uzi kufungwa.

Mbarikiwe na karibuni kwenye Uzi huu maalumu kwaajili ya maombi ya Asubuhi.


Asubuhi ya Leo 10/10/2024 post #13 au bofya hapo chini kupata mstari wa leo
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Leo 11/10/2024 post #49
Bofya kiungo hapo chini kwaajili ya maombi ya leo.
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

New. 11/10/2024
Kwa watakao penda kupokea ujumbe wa maombi mstari wa KUSIMAMIA Kwa njia ya Text za kawaida ama watsup. Ni vyema tutawasiliana PM Kwa mujibu wa sera ya faragha ya Jf. Pia kuanzia Jumatatu ijayo yaani 14/10/2024 tutakuwa na watsup group mahsusi Kwa maombi. Kwa wenye uhitaji tuwasiliane PM.
Mbarikiwe
Amen
 
Wapendwa kumradhi Kwa changamoto ya siku mbili hizi maombi Yana vita sana kuanzia Leo nitaendelea Tena kutuma maombi. Nashukuru Kwa wote mlio endelea na maombi wapendwa zaidi sana tuombeane
 

Attachments

  • IMG_3165.jpeg
    IMG_3165.jpeg
    106 KB · Views: 5
Baba katika jina la Yesu ni wewe ndiye ujazaye mioyo yetu furaha ,amani , upendo, na kutupa sisi afya na uzima , achilia nguvu ya roho wako kwa anayesoma ujumbe huu ukamfundishe kuvunja vifungo vya magonjwa ambavyo watu wako wamefungwa na mfalme wa giza yaani shetani na malaika zake ( wachawi na waganga , mapepo na majini ) katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth , fungua moyo wa msomaji wa ujumbe huu apate kuelewa ujumbe huu na apate maarifa ya kushindana na kushinda kwelikweli kupitia jina la Yesu .Amen
Amen
 
Asante, Baba, kwa vile unavyoniongoza katika maombi. Nisaidie kuja kwako kwa shukrani kabla sijafanya jambo lolote. Acha shukrani ziwe msingi wa maisha yangu ya maombi. Leo ninaamua kuweka malalamiko kando na kuwa mwenye shukrani katika maombi......🙏
 
Ubarikiwe mwanamaombi
Asante, Baba, kwa vile unavyoniongoza katika maombi. Nisaidie kuja kwako kwa shukrani kabla sijafanya jambo lolote. Acha shukrani ziwe msingi wa maisha yangu ya maombi. Leo ninaamua kuweka malalamiko kando na kuwa mwenye shukrani katika maombi......🙏
 
images (13).jpeg
Amkeni katika maombi. Mstari wa kusimamia 2 nyakati 7:14 " ikiwa watu wangu, walioitwa Kwa jina langu, watajinyenyekeza na kuomba na kutafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya,n basi nitasikia Toka mbinguni na kuwasamehe dhambi Yao na kuiponya nchi Yao."
Asubuhi hii tunaalikwa na Baba kwenda mbele zake Kwa unyenyekevu na kuomba, Bwana atasikia kutoka mbinguni. Tafakari mstari huu Kwa utulivu Kisha tuingie katika maombi.
 
Back
Top Bottom