Uzi maalumu: Rwanda wanavyotumia wadada warembo katika uspy wao

Nimegundua wabongo wanaifuatilia Rwanda kuliko nchi yoyote ile afrika, humu jukwaani haipiti wiki lazima utaona uzi mpya kuhusu rwanda

Yaani huw nacheka sana kila wiki kuna nyuzi ya Rwanda na inaonekana wengu hum ni laymen hawana la kufanya ugumu wa maisha umewafanya waanze kuhisi kuna mtu kawashikia maisha Magufuli walimchagua wenyewe wapambane na Hali Zao eti spies wanini hao spy Tz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kweli una spy nchi mnayo karibia kufanana nakuligana kiuchumi ili upate nini of all "countries uspy tz" ni ukozefu wa ajira na kazi
 


Katoto kazuri kazuri
 
Mkuu Tanzania ni nchi makini sana wote hao wamejifunza kwetu. Na nchi nyingi za Africa zimejifunza uspay kutoka kwetu. Na ukiangalia viongozi wengi wa Africa wametokea bingo.
Pep Gurdiola alikuwa mwanafunzi wa Ferguson katika soka lakini 2008 akiwa kocha wa Barcelona alimuabisha mwl wake mzee Alex Ferguson

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mademu wa Rwanda wangekuja Bongo wote tungewazalisha kungekua hamna vipya baada ya kufikiria u spy huo mda wangefikiria watoto wao watakula mini watavaa nini as usual
 
N
Mtoto mzuri naomba unispy.
 
Impact utaijua tu ngoja ukuwe umri huo huwezi jua jaribu kuangalia wake wa wakuu wa nchi hizi za EAC ukiacha KE then shirikisha ubongo
Wewe utakuwa mhutu unataka kuleta chuki za kihutu tz sio kila mtutsi tz ni mnyarwanda acha mambo yenu huko usitake kupandikiza chuki zenu tz
 
mie sina neon mama anaongea na baba chumbani mie nakunywa juice
 
Mbona hizi mbinu siku nyingi yerico nyerere alishazisemaga mpaka yule rais wa alivyofanyiwa uhuni na warusi kwa kumtegea wadada warembo kwelikweli wakawa wanamrecord
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…