Mchoro Una marekebisho kidogoSawa. Site Iko wapi? Ingependeza nifike site nione na mchoro. Hapo nitaweza kutoa quotation sahihi
Shukrani mkuu Kwa maoni yako ni msaada kwangu ktk kufanya tathiminiBei inategemea na
1.site eneo ilipo
2.jografia ya eneo lenyewe
3.aina ya ya ramani ya nyumba
.ubora na uzoefu wa fundi.
Hayo ya rejareja ya kuuza tofali 300 au 400 ni kazi ya fundi aliyekamata site kuwauzia wale mafundi atakaowaleta.
Mafundi pia wanatofautiana status.kuna nyumba bei ya ufundi kwa fundi fulani inaweza kufika lets say mil3.5 full boma. Mwingine akakufanyia kwa mil 1.5
Akili kichwani kwako.
Ndio muuzie kazi,ukifanya kwa kutwa wanategea kazi itaenda pole pole.Asante mkuu,lakini hii Kwa siku,je fundi hawezi kufanya uvivu ili mradi siku ziende au zisogee mbele ili mradi apate fedha nyingi.
Je kuhusu kumuuzia Kazi ,kwamba let's kuchimba msingi mpaka kuweka zege na kukamilika labda kiasi kadhaa so unampa advance then akimaliza hiyo stage unammalizia je imekaaje hiyo
Na je kipi Bora Kwa maoni yako mkuu,Kati ya kulipa Kwa siku au kuuza kazi?
Asante mkuuNdio muuzie kazi,ukifanya kwa kutwa wanategea kazi itaenda pole pole.
Unapatana naye kwa kila hatua kisha unamlipa advance nusu yake na kazi ikikamilika unammalizia iliyobaki.
Kuhusu makadirio ya gharama ya matilio na gharama ya nyumba nzima ni ngumu kujua hapa bila kuonyesha ramani maana hatujui muundo wa nyumba ukoje,hatujua hivyo vyumba vina ukubwa gani
Wengi.watalia.namajengo.yao.baadae.20000Kweli sisi mafundi tunadharaulika Sana. Eti fundi analipwa 20000 YAANI mmetupangia na bei kabisa.
Haitoshi
Nashukuru..naona kuna uhalisia hapa. Budget yangu mpaka kupauwa ni TZS 24ML. Plan yangu ni kwamba by the time napauwa nitakua na 10ml ambayo nitaanza nayo finishing nianze kuingia... Mengine nitamalizia nikiwa ndaniUmesema 4bedrooms kwa heading then kwenye maelezo unataka 3bedrooms.
Nimejenga 4bedroom DSM eneo slope kali, ilikula karibuni 35M mpk kupaua mbali na finishing.
Kwa arusha itakuwa chini ya hapo kwa kuwa kwenye msingi utatumia mawe. So nadhani 25 to 30M itatosha kama eneo halina slope kali.
Ukihitaji ramani yake karibu inbox but uwe tayri kuchangia gharama kidogo.
Mkuu kwema bila shaka,Habari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya maelezo hayo hapo chini;
1. Ya kisasa kidogo
2. Size: Plot ya 18x25
3. Eneo: Moshono, Arusha (kwa Laizer)
Hitaji:[emoji116]
* Kupauwa napauwa na Mabati mgongo mpana.
- 1 Master Bedroom
- 2 Bedrooms ( Zote 2 Self Contained)
- Sitting Room
- Open Kitchen + Store
- Dinning
- Public Bathroom + Toilet
[emoji120] Tafadhali naombeni makadirio ya kuanzia chini hadi nyumba kupauliwa.
NOTE: Natashukuru pia kupendekezewa mchoraji mzuri asiye na gharama... Na Mjenzi kwa maeneo ya Arusha ambye mwaminifu.
[emoji120] NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.
Toa maelezo vizuri ni 3bedroom au 4bedroom na Kama haujapata mchoraji nicheki tumalzie kaziHabari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya maelezo hayo hapo chini;
1. Ya kisasa kidogo
2. Size: Plot ya 18x25
3. Eneo: Moshono, Arusha (kwa Laizer)
Hitaji:π
* Kupauwa napauwa na Mabati mgongo mpana.
- 1 Master Bedroom
- 2 Bedrooms ( Zote 2 Self Contained)
- Sitting Room
- Open Kitchen + Store
- Dinning
- Public Bathroom + Toilet
π Tafadhali naombeni makadirio ya kuanzia chini hadi nyumba kupauliwa.
NOTE: Natashukuru pia kupendekezewa mchoraji mzuri asiye na gharama... Na Mjenzi kwa maeneo ya Arusha ambye mwaminifu.
π NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.