Bei ya jumla sh ngap?Tshirt Zinapatikana Kwa Jumla
Tupo Kariakoo Mtaa wa Muhonda
WhatsApp & Calls
0714122948
Karibuni SanaView attachment 1766288View attachment 1766289View attachment 1766290
Mkuu unapatikana wapiMimi Ninazo machine mbili za kusaga na mbili za kukoboa Mahindi.Nilizinunua Ili nizifunge sehemu,nifanye Niagara ya kukoboa na kusaga.Bahati mbaya Kuna MTU nilimtegemea anipe mtaji wa kununulia mahindi na Mambo ya leseni,akawa amefilisika ghafla.HIVYO HIZO MACHINES SIKUKUZIFUNGA TENA NA BADALA YAKE NIKAZIWEKA STORES MPAKA LEO NA HAZIJAWAHI KUTUMIKA.Size ya kinu Cha kusagia Ni N50, na Motors Zake Ni Horse Power (HP20).Ninauza Bei Rahisi ya shs 1,600,000 TU kwa full set moja complete ya kusaga na au ya kukoboa.UKIZINUNUA,UNAZIFUNGA KATIKA KIWANDA CHAKO KIDOGO NA KUANZA KAZI.Dukani zinauzwa shs 2,300,000 kwa set.Karbuni mnunue.CONTACTS YANGU NI 0786 02 14 14
Bei gani kiongozi hiyo kitu?Karibu nikutengenezee ndugu 0774150519View attachment 1773428View attachment 1773430
[emoji1812]wakuu natanguliza shukrani
samahani naweza pata wapi wateja/soko la korosho za kuoka kwa bei ya jumla kwa tsh 13000 per kg...kama kuna mtu anajua hlo soko lets make basis for mutual beneficial trade (tuangalie namna tutakavyoweza kufaidika wote)
ABDUL
0682-432906
KIBAHA
Umwshapata?
Weka Bei na picha Kama unazo mkuuUmwshapata?
700,000/= unapata bossWeka Bei na picha Kama unazo mkuu