Nipe ramani inakuwajeNahitaji mtu ambaye tutaungana kufanya biashara ya kurusha nyimbo ,movie ,games ,kutengeneza simu na utundu wa namna hiyo kwenye kijiwe changu manzese sokoni ,ni sehemu ndogo ila inaweza kufaa.Kama kuna msakatonge kama mimi usisite nicheki
Ninazo mkuuNahitaji Line ya uwakala ya M-Pesa
Mwenye nayo tuwasiliane PM
Twende kuleNipe ramani inakuwaje
Mkuu haya mambo yako mbona hata hapa bongo..Usishee tena siku nyingine, juzi tu msichana wa Uganda amerudishwa na wheelchair toka UAE wamemtoa figo Waganda wakaja juu Waarabu wa Dubai wakasema yule mwajiri amlipe fidia ya mil 160Tzs wakati wamemuibia figo, maisha yake ni ya kumtumaini Mungu zaidi kwa sasa
Ungeandika Kiswahili labda ungepata Kazi kiurahisi.Steel am looking job any job please 0744883353
Kazi yoyote napigaUngeandika Kiswahili labda ungepata Kazi kiurahisi.
Ni Kazi gani unaweza kufanya?
Hapo kisasa 20×20 tunapataje?NUNUA NA UZA VIWANJA,NYUMBA NA MASHAMBA DODOMA NA VIUNGA VYAKE.
Karibu Utuuzie au tukuuzie
1.Nyumba
2.Viwanja(vilivyopimwa na kuwa na Hati)
3.Mashamba yasiyo na Migogoro.
Contact:0625646266
Umeshampata?Nahitaji mtu ambaye tutaungana kufanya biashara ya kurusha nyimbo ,movie ,games ,kutengeneza simu na utundu wa namna hiyo kwenye kijiwe changu manzese sokoni ,ni sehemu ndogo ila inaweza kufaa.Kama kuna msakatonge kama mimi usisite nicheki
Tayari nimempata mkuuUmeshampata?
Ukitaka miti nishtue mkuu nina shamba la kuvuna kabisa...karibu DMNahitaji watu serious wenye uelewa Na fursa za mufindi kwenye swala la kilimo cha miti
UKIPATA CHIMBO NA MIMI NISHTUE NINAZIHITAJI KWA WINGI SANAT-shirt form six plain bei ya jumla . natafuta maduka kariakoo mtaa gani
Hii biashara ya dagaa ulifanikisha mkuu?Mliopo kigoma naomba kujua upatikanaji wa dagaa wa kigoma na migebuka upoje na bei imesimama vipi kwa sasa, pia upatikanaji wa leseni ya kusafirisha dagaa to Dar.
Mtaa wa samora karibu na ppf tower mtaa wambele Kuna wahindi wanauza kwa jumlaT-shirt form six plain bei ya jumla . natafuta maduka kariakoo mtaa gani
hii imekaa poaKama uko na mghahawa wa chakula Dar es Salaam na ungependa kuongeza menyu ya biriani kutoka zenji karibu ..au ungependa kuwa na biashara ya biryani
👍natafuta wanunuzi was jumla na rejareja was pilipili(sauce)
ya embe na ya ukwaju
inafaa kwa matumizi ya Nyumbani na wenye biashara ya chakula
zinatumika kurowekea nyama na pia Julia chakula (dipping)
ni kionjo matata sana hasa kwa wauza chips
inapatikana kwa chupa ya Lita moja
nusu Lita na robo Lita.
karibuni sana