Michael Richard
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 166
- 496
ofa yako sh ngap mkuu?Nataka mifuko ya kg 50
Nataka connection ya kuuza rim paper size ya A4 gm 80 yeyote anayehitaji aje inbox nakutumia pia mkoani mawasiliano yangu 0789386320.Pia nauza vitabu vya wanafunzi vya Msingi na sekondari.
300ofa yako sh ngap mkuu?
Ipo ya sukari zaidi ya 3000pcs
Nitafute tuyajenge nikupele tunaponadishaHabr zenu dar ntapata sehem gan ya kuuzia nguo za Mtumba kwa kila siku na gharama inakuaje (siyo from).. Balo za Mtumba naagza mwenyew Dubai na china
Unauzaje nikupe comnectionNaomba kupata connection ya kuuza safari bags Kama hizi zangu za mtumba
Za mtumba inategemea na soko litakavyotoka siku hiyo lkn Kuna za 60,70,80,90Unauzaje nikupe comnection
Mikoani jeHabarini MABOSS zangu napenda kuwaletea hii. Fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu
Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili sisi tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..
Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana wadau WhatsApp+255765018958
Tunafika popote mkuu, WW unamaulizo gani nihudumie!Mikoani je
Ki staha zaidi wanaita hashuo za kuku[emoji23]Kwa anayejua wanapouza mikundu ya kuku kwa bei ya jumla naomba anichek please