Twins love
Senior Member
- Jan 27, 2022
- 114
- 160
Inatumia muda Gani Hadi vitu kufika?Habarini MABOSS zangu napenda kuwaletea hii. Fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu
Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili sisi tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..
Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana wadau WhatsApp+255765018958
ndio njoo uagizeAir compressor unazo?
utapigwa na kitu kizito.Inatumia muda Gani Hadi vitu kufika?
vifaa vya stationary na desktop yenye uwezo kwa kazi za graphicsUKIHITAJI KITU CHOCHOTE USED KWA GHARAMA NAFUU NICHEKI UTAKIPATA MARA MOJA NA UTALETEWA ULIPO,0758918144
wazee wa nakuru. 🤣🤣Naomba kuuliza kuna hawa jamaa wanajiita imarket apple world kuna mtu ashawahi fanya nao huduma?
[emoji23][emoji23]haohaowazee wa nakuru. [emoji1787][emoji1787]
Kwa anaeuza vifaa vya jumla vya umeme
Wire 1.5,2.5,4&6 mm2
Holder
Switch
Switch socket
Balbu..
Circuit breaker
Junction box
Mainswitch single phase ( 2way Hadi 6 way)..
Nahitaji mchele supaa kwa bei ya jumla., Location Morogoro mjini