lenno phones
Member
- Mar 22, 2020
- 7
- 10
Yale ya njano mkuu,kuna yale ya punje fupi na punje ndefu sijui ww unayakubali yapi japo punde ndefu ndio malaini zaidi sema yenyewe sio mengi.Hayo maharage ni aina ipi?
Mkuu umetoa maelezo mazuri sana yanahamasisha, nimehifadhi Id yako na namba nitakutafuta baada ya kujiridhisha.Habari,mm natafuta mtu ambae anaweza kufungua mashine ya kusaga sembe na mm nikawa kama msimamizi(mfanyakazi )ninaweza kukoboa kusagana na kuweka ktk vifungashio(viloba vya sembe)nina fahamu madalali wengi ambao wanaweza kuleta mahindi
Lkn pia kuna eneo Pele temeke lipo NI jengo japo sio kubwa sana lkn linafaa kuanza linaitaji ukarabati mdogo ,
Mm pia NI fundi mashine ya kukoboa na kusaga naweza kutengeneza,
Lkn pia ninaweza kutengeneza chakula cha kuku wa kisasa kama finisher, statar nk ,(mashine yako hapo mm cna mashine )na kama unaitaji mashine njoo nikupeleke wanapotengeneza 0785332010 0719103409 karibuni wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka ifakara mpaka dar kilo moja ya mchele husafiliahwa kwa sh 80 mala 100 inakuja 8000,kupakia mchele gunia sh 700,na kushusha being hiyo hiyo,ushuru kilo sh 30 kwa kilo 100 inakuja 3000 umagharamia usafili kutoka huko mlimba bei yake siifahamu hapo nazungumzia kwenye gari kwa hiyo gari inakuletea ww ulipo kama buguruni ,manzese ,tegeta ,tandika nk
Twende kwenye train ,wale wanitaji kiloba cha mchele uweke viwili maana wanahofia kupasuka ,kwa hiyo unaweka mifuko 2 ndio unaweka mchele kwa hiyo kama unagunia 10 itabidi ununue mifuko 20 kwa hiyo utakuwa umeongoza gharama nyingine, gharama alafu unatakiwa uusafilishe mzigo wako mpka tazara kwa hiyo unalipa pesa ya kupaki kutoka mashine usafili na pesa ya kushusha kule tazara umeongeza gharama ambapo gari inakuja kupakia moja kwa moja mashine na kuondoka
Ukishusha mzigo tazara unapimwa tena unalipa kabisa wakati gari unaweza kuja kulipia unaposhusha mzigo baaada ya hapo mzigo hupakuwa ktk train unalipia peaa ya kupakia na ukifika unalipa pesa ya kushusha tazara ya huku dar, unatakiwa ukodi usafili WA kwenda kuchukua mzigo tazara ili upeleke oficn kwako kwa hiyo kuna kulipia gari tena kuwalipa wanaopakia na kwenda kushusha hapo unapopeleka mzigo, alafu ukiwa ktk gari na mzigo wako hulipi nauli kwenye train unalipa nauli huwezi ukapanda bila nauli alafu ukasema nina mzigo wangu ragej silipi nauli hahahaaaaaaaa NI hivyo tu kuna usipoelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Songea
@Papaa Gx mm pia naomba mawasiliano ya huyu supplierNaam nina connection ya mtu mmoja yy husambaza madawa ya binadamu hasa katika mikoa ya Mara na Mwanza. Ila yy huchukulia kwa Kenya ngoja nitakupatia namba yake uwasiliane nae.
@Papaa Gx mm pia naomba mawasiliano ya huyu supplier
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Nipewe connection ya kupata bidhaa zifuatazo kwa jumla
USB wire
Computer mouses
Disk flash
Game pads
Small Bleuetooth spekers
Na SAA za mkononii
Samahani wewe ndo uliesema hizo mashine za mahindi zimeshukia ZanzibarYa diesel ,yenye uwezo wa nusu tani mpaka tani kwa saa, inakuwa milioni 3. ya mkono laki 4
sawa sawaMkuu kwa sasa imekuwa ngumu sana kutokana na huu ugonjwa wa Corona. Jamaa hasafiri kabisa yupo tu ametulia.
Kwa jumla jumla? Upo mkoa ganii!USB wire
Computer Mouses.
Flash
Small Bluetooth speaker ivo vitu nauza ukihitaji kuona naweza kukutumia picha au ukatembelea page yangu instagram @lenno_phones au Facebook kwa jina la Lenno Biashara,
kujionea bidhaa nyinginezo nyingi.
Anayetaka connection ya mahindi (magunia ya mahindi) anicheki kwa no 0745535772