Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Kwa mwenye uhitaji wa vifaa vya simu(phone accessories) kama vile:
Chaja za simu,Memory card,kava za simu,phone protectors, Earphones n.k au Radio zenye Bluetooth pia zipo, Flash na vingine vingi anichek. kwa jumla na rejareja.
Vile vile unaweza tembelea page yetu ya Instagram @lenno_phones au facebook kwa jina la Lenno Biashara kujionea bidhaa mbalimbali.
Karibu.
 
Habar Wakuu? Nimeanzisha Company yangu inayo deal na Issues za COOLING, Generator Services & Maintenance... Kwa yoyote ambae ana Connection za Air conditioning, Generator Services & Maintenance kweny MaHOTEL,TAASISI nk

Kampuni ipo
1.Tanga
2.Dodoma
3.Singida
4.Morogoro

Contact: 0622508945
Email: powercooltechservices@gmail.com

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari,mm natafuta mtu ambae anaweza kufungua mashine ya kusaga sembe na mm nikawa kama msimamizi(mfanyakazi )ninaweza kukoboa kusagana na kuweka ktk vifungashio(viloba vya sembe)nina fahamu madalali wengi ambao wanaweza kuleta mahindi

Lkn pia kuna eneo Pele temeke lipo NI jengo japo sio kubwa sana lkn linafaa kuanza linaitaji ukarabati mdogo ,

Mm pia NI fundi mashine ya kukoboa na kusaga naweza kutengeneza,
Lkn pia ninaweza kutengeneza chakula cha kuku wa kisasa kama finisher, statar nk ,(mashine yako hapo mm cna mashine )na kama unaitaji mashine njoo nikupeleke wanapotengeneza 0785332010 0719103409 karibuni wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umetoa maelezo mazuri sana yanahamasisha, nimehifadhi Id yako na namba nitakutafuta baada ya kujiridhisha.

Ninakumbuka kuna kipindi nilikuwa ninatafuta mtu wa namna hii nikakutana na mtu mmoja hapa jamii forums.

Nilipomtafuta na kufamiana naye basi kabla ya kuanza kazi kila siku nina shida hii nina dharura hii nisaidie pesa.

Kifupi alikuwa si muaminifu na hajui kutenganisha kazi na mambo binafsi pamoja na mambo mengine yanayozuia kushirikiana naye.

Anyperson with Food Processing skills is my friend.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu vipi unaweza kunipa mchanganuo wa gharama ya kusafirisha mchele kutoka, mbeya na kahama kwa kwa kila kilo 100?
Kutoka ifakara mpaka dar kilo moja ya mchele husafiliahwa kwa sh 80 mala 100 inakuja 8000,kupakia mchele gunia sh 700,na kushusha being hiyo hiyo,ushuru kilo sh 30 kwa kilo 100 inakuja 3000 umagharamia usafili kutoka huko mlimba bei yake siifahamu hapo nazungumzia kwenye gari kwa hiyo gari inakuletea ww ulipo kama buguruni ,manzese ,tegeta ,tandika nk

Twende kwenye train ,wale wanitaji kiloba cha mchele uweke viwili maana wanahofia kupasuka ,kwa hiyo unaweka mifuko 2 ndio unaweka mchele kwa hiyo kama unagunia 10 itabidi ununue mifuko 20 kwa hiyo utakuwa umeongoza gharama nyingine, gharama alafu unatakiwa uusafilishe mzigo wako mpka tazara kwa hiyo unalipa pesa ya kupaki kutoka mashine usafili na pesa ya kushusha kule tazara umeongeza gharama ambapo gari inakuja kupakia moja kwa moja mashine na kuondoka

Ukishusha mzigo tazara unapimwa tena unalipa kabisa wakati gari unaweza kuja kulipia unaposhusha mzigo baaada ya hapo mzigo hupakuwa ktk train unalipia peaa ya kupakia na ukifika unalipa pesa ya kushusha tazara ya huku dar, unatakiwa ukodi usafili WA kwenda kuchukua mzigo tazara ili upeleke oficn kwako kwa hiyo kuna kulipia gari tena kuwalipa wanaopakia na kwenda kushusha hapo unapopeleka mzigo, alafu ukiwa ktk gari na mzigo wako hulipi nauli kwenye train unalipa nauli huwezi ukapanda bila nauli alafu ukasema nina mzigo wangu ragej silipi nauli hahahaaaaaaaa NI hivyo tu kuna usipoelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam nina connection ya mtu mmoja yy husambaza madawa ya binadamu hasa katika mikoa ya Mara na Mwanza. Ila yy huchukulia kwa Kenya ngoja nitakupatia namba yake uwasiliane nae.
@Papaa Gx mm pia naomba mawasiliano ya huyu supplier

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
Wadau natafuta connection ya kulimisha kwa kutumia trekta. Yaani ni sehemu ipi kulipo na uhaba wa trekta na kuna kilimo kwa wingi. Nataka nipeleke trekta maeneo hayo ili niwe nalima mashamba ya watu kwa kukodisha. Msaada tafadhali
 
Nipewe connection ya kupata bidhaa zifuatazo kwa jumla
USB wire
Computer mouses
Disk flash
Game pads
Small Bleuetooth spekers
Na SAA za mkononii

USB wire
Computer Mouses.
Flash
Small Bluetooth speaker ivo vitu nauza ukihitaji kuona naweza kukutumia picha au ukatembelea page yangu instagram @lenno_phones au Facebook kwa jina la Lenno Biashara,
kujionea bidhaa nyinginezo nyingi.
 
USB wire
Computer Mouses.
Flash
Small Bluetooth speaker ivo vitu nauza ukihitaji kuona naweza kukutumia picha au ukatembelea page yangu instagram @lenno_phones au Facebook kwa jina la Lenno Biashara,
kujionea bidhaa nyinginezo nyingi.
Kwa jumla jumla? Upo mkoa ganii!
 
Back
Top Bottom