Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Mkuu huyo pichani ni wewe?Ndugu yangu hapa mjini bila connection utaula wa chuya[emoji1]!..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyo pichani ni wewe?Ndugu yangu hapa mjini bila connection utaula wa chuya[emoji1]!..
Inategemea na kipindi bei inakuwa ndogo kipindi cha mavuno na kupanda paka kipind ni adimu mwez wa 5/6 mavuno yanachanganya bei huwa 750/800 unapanda miez ya 10 Ila haizid 1200 hiyo ilikuwa 2015 kuna mzee wangu namfahamu anastoo na mashine hapo hyo bei ni kwa kg mchele swafIyo kilo 100 mchele wanauzaje
Nop...picha tu za mitandaonMkuu huyo pichani ni wewe?
NotedNop...picha tu za mitandaon
Yes mishikak ya salma cone ni mizuri milaini
Huwa nikiwa mwanza napenda kupita pale
Dah mie kijiwe changu kona ya bwiru...!
Pale huwa kuna samaki mzuri usiniambie na mishikaki pia inapatikana?.
5000 nitanunua usafiri kwako mpk Dar ,60 kwa siku naitajiNaomba connection nikusambazie KuKu wa kienyeji wa kubwa kama una supermarket au Hotel naweza kuandaa kwa kuchinja na kusafisha, Pia kama unahitaji dagaa nicheki tufanye biashara.
Nop...picha tu za mitandaon
Mkuu huyo pichani ni wewe?
Taja location mkuu wanguAnayetaka pumba na mashudu ya alizeti anichek nimuungsnishe
Anauliza sijui anataka kugundua nn.!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Anauliza sijui anataka kugundua nn.!! [emoji23][emoji23][emoji23]
SorryDagaa wa Mwanza
SongeaTaja location mkuu wangu
Bro mambo yakienda fresh tushtuane aiseNimesikia na nimeitwa kwenye connection moja huko Mbeya, ngoja next week nikaicheck kama iko njema.
Sent using Jamii Forums mobile app