OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mahindi bei kwa sasa ipoje sokoni?Kama utahitaji connection ya mahindi unaweza nicheki
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahindi bei kwa sasa ipoje sokoni?Kama utahitaji connection ya mahindi unaweza nicheki
Mkuu kama mazao gani na mtaji kiasi gani unaitajika mkuu..Nina Kama wiki tatu huku Kuna fursa nyingi sana upande wa biashara ya mazao mchawi mtaji tu
Mtaji kama kiasi gani umaitajika mkuuSio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Sio mbaya kama ukataja tena mkuu.Nimejibu juu pitia post zote utaona
Njoo mlimba Kuna Kijiji kinaitwa idui Kuna kuku Hadi wa elfu tano
Dagaa ni wa mchaga ila kama unataka tofauti na hao itawezekana pia na kiasi utachohitaji na location yakoSorry
Hao dagaa walokaangwa kabisa wakatiwa na viungo au ni wale wenye michanga wengine huwaita kauzu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kuku wa kienyeji wa iyo bei Mkuu, ukiongeza hela tutafanya biashara ila iyo bei ni ya buloiler buguruni sokoni5000 nitanunua usafiri kwako mpk Dar ,60 kwa siku naitaji
Jumla 16000, wapo wa kutosha Wapo DodomaMkuu uko mkoa gani..? Una kuku wangapi wa kienyeji..? Bei ya jumla ni kiasi gani..?
No disrespect Mkuu, ila bei yako iko juu sana.Jumla 16000, wapo wa kutosha Wapo Dodoma
So sweat ndugu una bei gani na unataka wangapi?No disrespect Mkuu, ila bei yako iko juu sana.
Hapa DSM, kuna mabucha wanauza kuku wa kienyeji aliyechakatwa 15,000/= kwa reja reja.
Kiushindan bei yako sio rafiki kwangu.
So sweat ndugu una bei gani na unataka wangapi?
Sawa, aliyekaribu atakucheki. Ingelikuwa moshi au arusha ingekuwa bieeSongea
😆😆😆! Na maisha yalivyo magumu hivi unaanzaje kuuliza .....doh...! Mamboz
Nilikia sijui ubora wa karanga...! Ukienda hom nishushie bas alizet [emoji6]! Undugu kufaana..na mm kale kababy gal nitakapa hereni[emoji4]
Hiyo ndio offer yangu,,wenzako wapo mafanya nao bishara kwa bei hiyo,mm mwyw Dalali bei hizo zko za madalali.Jumla 16000, wapo wa kutosha
Huyo ni dalali kama mimi hapa,hauna haja ya kibishana naye.No disrespect Mkuu, ila bei yako iko juu sana.
Hapa DSM, kuna mabucha wanauza kuku wa kienyeji aliyechakatwa 15,000/= kwa reja reja.
Kiushindan bei yako sio rafiki kwangu.