Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Mtaji kama kiasi gani umaitajika mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No disrespect Mkuu, ila bei yako iko juu sana.

Hapa DSM, kuna mabucha wanauza kuku wa kienyeji aliyechakatwa 15,000/= kwa reja reja.

Kiushindan bei yako sio rafiki kwangu.
Huyo ni dalali kama mimi hapa,hauna haja ya kibishana naye.
Madalali tunanunua kuku mikoani ukitaka. tunakuuzia 15,000/= mpaka 20,000/= hizo ndio kazi zetu boss.
 
Back
Top Bottom